PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,222
Acha siasaNi mwanadamu gani anamzidi akili ufahamu na maarifa Mungu
Kama Mungu alimuumba adam na akamuumba hawa hakujua kua adam ana hitaji wanawake zaidi ya mmoja aumbe na hao
Mungu alijua kua mwanaume anahitaji mke mmja na mwanamke anahitaji mme mmja ndio maana akawaumba hivyo
Na Mungu anachukia uzinzi wanaume mjitafakari Mungu hakuwaumba mtende uzinzi au muwe na wake wengi mlipewa mmoja tu
Sent using Jamii Forums mobile app