Swali kwa wanaume

illuh

JF-Expert Member
Mar 17, 2014
1,254
698
Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...

Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..

Samahanini labda mnafahamu ni kwanini
 
swali kwa wanaume gani? Maana mimi sijawahi kukataliwa labda kuwakataa Wanawake wanaonitongoza hata wikiendi hii kuna mdada anafanya kazi bank hapa mjini nimemwambia aniache tiyari nina mpenzi wangu yeye hataki kunielewa anasema yupo tiyari kushare na mimi simtaki ingawa kuna baadhi ya vidume vinamlia timing anawachomolea!!
 
i used to be a gentleman,after sometime she will comeback while crying. hakuna sababu ya kuweka bifu na binti alokukataa.
 
swali kwa wanaume gani? Maana mimi sijawahi kukataliwa labda kuwakataa Wanawake wanaonitongoza hata wikiendi hii kuna mdada anafanya kazi bank hapa mjini nimemwambia aniache tiyari nina mpenzi wangu yeye hataki kunielewa anasema yupo tiyari kushare na mimi simtaki ingawa kuna baadhi ya vidume vinamlia timing anawachomolea!!

Hongera kwa kupata bahati ya kutongozwa
 
Hio ni siri ya ndani kijana.
swali kwa wanaume gani? Maana mimi sijawahi kukataliwa labda kuwakataa Wanawake wanaonitongoza hata wikiendi hii kuna mdada anafanya kazi bank hapa mjini nimemwambia aniache tiyari nina mpenzi wangu yeye hataki kunielewa anasema yupo tiyari kushare na mimi simtaki ingawa kuna baadhi ya vidume vinamlia timing anawachomolea!!
 
Wengine huwa wameshaliwa PESA zao na hao wanawake/madada,sasa anapokataliwa anakuwa na hasira na PESA zake na muda wake alivyoupoteza ukizingatia PESA zenyewe kapata kiugumu.Si unajua madada/wanawake wengi wanapenda OFA za lunch,vocha nk,lakini akiombwa papuchi ananza kunyima.Kwa nini ME asikasirike?

Pia waswahili husema kitu kizuri kula na mwenzio,kama wewe mdada unajiona mzuri kwa nini umnyime mwenzako ikiwa huna boy friend au mume? Wahurumieni hao wanaume ni watoto wa wanawake wenzenu.Mpendane..!!

Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...

Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..

Samahanini labda mnafahamu ni kwanini
 
The highest RISK is not to take risk.

Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...

Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..

Samahanini labda mnafahamu ni kwanini
 
Mwanaume anatakiwa aone mwisho mwanzoni kabisaaaa!!! Kama ukimwangalia mwanamke huoni mwisho wa unachotaka kuanza usianze. Wanaume wamepewa hio ''instinct'' ya utambuzi na kuona mbali lijapo swala la wanawake. labda tu washindwe kuitumia wenyewe.

''Sometimes the slow movement of a tiger .. means a calculated accuracy'' Chui anajua ni wapi atembee, wapi alale na wapi akimbie na wapi akamate..kama huyu ni mnyama anaona mbali ivo... sembuse sisi wanaume tena wenye akili?.. mtu ukienda kama zuzu ukifikiri kila mwanamke ni sawa.. tegemea vya mbavu vya kutosha.


Wengine huwa wameshaliwa PESA zao na hao wanawake/madada,sasa anapokataliwa anakuwa na hasira na PESA zake na muda wake alivyoupoteza ukizingatia PESA zenyewe kapata kiugumu.Si unajua madada/wanawake wengi wanapenda OFA za lunch,vocha nk,lakini akiombwa papuchi ananza kunyima.Kwa nini ME asikasirike?

Pia waswahili husema kitu kizuri kula na mwenzio,kama wewe mdada unajiona mzuri kwa nini umnyime mwenzako ikiwa huna boy friend au mume? Wahurumieni hao wanaume ni watoto wa wanawake wenzenu.Mpendane..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom