Swali: Kwa wanandoa

rubwe

Senior Member
Feb 12, 2013
109
25
Mwanamke anafanya kazi na kipato chote anachokipata wanashirikiana na mumewe katika kuendesha familia. Je ni halali kuacha kuchangia chochote kwenye familia pale anapogundua kuwa mumewe ana mahusiano mengine nje (michepuko)?
 
Its means mume ana pesa ming ndo mana kaengeza chepuko
Asichangie hat sh kumi kulaleki
Na kodi ya meza amuongezee kibisa
 
Inategemea, je mume huko kwa mchepuko anachangia kiasi gani? Manake kama mie natia kila kitu kwenye kapu na wewe una ziada ya kugawa? Ni dhahiri nachangia sana. Dawa ni kutochangia ili mume ajipime kifua, tuone anamudu michepuko mingapi na ya aina gani? Manake na mie nikiwekeza kwenye mavazi, mapochi, designer perfumes na lace wigs za maana labda ntafanana na mchepuko wako badala ya kuwekeza kwenye matofali. Na nitakuwa na
less stress na energy ya kukuhudumia manake nawaza sex tu labda na kupika na kusimamia usafi tu.
 
Mwanamke anafanya kazi na kipato chote anachokipata wanashirikiana na mumewe katika kuendesha familia. Je ni halali kuacha kuchangia chochote kwenye familia pale anapogundua kuwa mumewe ana mahusiano mengine nje (michepuko)?

Yuko sawa kabisa.Kwanini umdharau pamoja na kujituma kote zawadi yake umeona ni kuchepuka.
 
sio mara zote kuchepuka ni kupeleka hela nje. Naomba ieleweke kwamba michepuko mingine inalipa tena sana. SOURCE.. uzoefu

Haaaa kwa hiyo wewe umeshindwa kujituma as father of family unategemea ukahongwe MARIOO ndo ulete pesa nyumban Mimi niseme sawa tuu

Kwa hiyo wewe ushawah kuchepuka na huyo mwanamke ndo akawa anakuhonga
 
Akianza kuchepuka maana yake wewe unachangia sana ndani yeye amebaki na ziada nyingi akaamua kutafuta kwa kuipeleka.
Dawa ni kumuachia mpaka chumvi anunue!!
Yeye si kibopa?
 
Mwanamke anafanya kazi na kipato chote anachokipata wanashirikiana na mumewe katika kuendesha familia. Je ni halali kuacha kuchangia chochote kwenye familia pale anapogundua kuwa mumewe ana mahusiano mengine nje (michepuko)?

sa hili ni swali au, la msingi kama pesa zote zimeenda kwa mchepuko ye adil na wanae tu
 
Inategemea, je mume huko kwa mchepuko anachangia kiasi gani? Manake kama mie natia kila kitu kwenye kapu na wewe una ziada ya kugawa? Ni dhahiri nachangia sana. Dawa ni kutochangia ili mume ajipime kifua, tuone anamudu michepuko mingapi na ya aina gani? Manake na mie nikiwekeza kwenye mavazi, mapochi, designer perfumes na lace wigs za maana labda ntafanana na mchepuko wako badala ya kuwekeza kwenye matofali. Na nitakuwa na
less stress na energy ya kukuhudumia manake nawaza sex tu labda na kupika na kusimamia usafi tu.

nimekupendaje, tuchangie kapuni kama nahisi am pat of you, sio me naweka ye apendezeshwe, inahuu, afu we mtoa mada nikisema am pat of u nt necessary iwe kwenye hela, tunashea kila kitu sasa hata kama mchepuko hatumii hela yetu anatumia mda wetu so there is no more maana ya kuchangia
 
Ukijibu hili swali utakuwa umejijibu:
Je ni halali hela za mke zitumike kwenye familia na za mume zitumike kwenye familia na mchepukoni/nyumba ndogo?
Bora za mke akatumie pesa zake kivyake ajijengee na nyumba yake ikibidi badala ya kujifanya anashikamana na mume asoshikika!
 
hapo ndio neno lilipo.
nimekupendaje, tuchangie kapuni kama nahisi am pat of you, sio me naweka ye apendezeshwe, inahuu, afu we mtoa mada nikisema am pat of u nt necessary iwe kwenye hela, tunashea kila kitu sasa hata kama mchepuko hatumii hela yetu anatumia mda wetu so there is no more maana ya kuchangia
 
Back
Top Bottom