life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,031
Tuwie Radhi
Tukubaliane kuwa wengi wa mama hao huaga victim wa matokeo mbalimbali yaliyo fanyika awali na matendo yasiyo na Uadilifu juu ya jamii haswa ya uswahilini. ukweli unategemea mama alee watoto asimamie nyumba nk. Wakati aliyekusanya zogo la watoto hajulikani na hayupo kusimamia majukumu yake. MNATEGEMEA nini ? MSONGO wa mama huishia kwa watoto, majirani na hadi kituoni polisi , mahakani mwishoe gerezani. iwe yeye au watoto wataishia pabaya na hayo ndiyo mnaona hivi sasa VIBAKA wamezidi, Makahaba kibao, majambazi usitaje, wazururaji tele nk. yaani maadili ya kijamii yamezikwa na jamii. Tumerudi porini kuishi kama wanyama wa mbugani kila anayeweza kumrarua mwenzie anarauwa tu. God bless Afrika.
Tukubaliane kuwa wengi wa mama hao huaga victim wa matokeo mbalimbali yaliyo fanyika awali na matendo yasiyo na Uadilifu juu ya jamii haswa ya uswahilini. ukweli unategemea mama alee watoto asimamie nyumba nk. Wakati aliyekusanya zogo la watoto hajulikani na hayupo kusimamia majukumu yake. MNATEGEMEA nini ? MSONGO wa mama huishia kwa watoto, majirani na hadi kituoni polisi , mahakani mwishoe gerezani. iwe yeye au watoto wataishia pabaya na hayo ndiyo mnaona hivi sasa VIBAKA wamezidi, Makahaba kibao, majambazi usitaje, wazururaji tele nk. yaani maadili ya kijamii yamezikwa na jamii. Tumerudi porini kuishi kama wanyama wa mbugani kila anayeweza kumrarua mwenzie anarauwa tu. God bless Afrika.