Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya