Swali kwa Wakenya: Bado mnamhitaji Magufuli awe Rais wenu?

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!

Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
 
Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!

Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
“Kenya-Tanzania relations are longstanding, rich and complex and should not be jeorpadised by a hardening of positions over minor issues that can be easily resolved through candid and open dialogue,” Kenya's Foreign Affairs Political and Diplomatic Secretary Tom Amollo is quoted as having told Pindi during the meeting in Nairobi Read more: Kenyan govt angry after Magufuli burns over 6,000 chicks,sells cattle confiscated from Kenyan herders
 
0f3ca6a0c9c3212ba08bd5476fedf5ca.jpg
 
Back
Top Bottom