Ni maamuzi yake ya kijinga.yasiyozingatia maslah mapana ya mahusiano ya kidugu yaliyojengeka tokea uasisi wa mataifa haya mawili.Kosa la Rais Magufuli kwa Wakenya liko wapi?
Yupo msomi mmoja anajiita Lumumba bado anajipendekezaMwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
si sawa kumfafananisha JPM na materrorist....nyie Jubilee mnamshindwa Raila mtamuweza JPM..na hizo lori mnadhani wanaokuja hayo mazao ni watanzania pekee?
KUCHANGANYA URAIS NA URAFIKI.Kosa la Rais Magufuli kwa Wakenya liko wapi?
Yawezekana hawataki hata awe balozi wa nyumba kumi
We fala Sana,kwani Magufuli anaongoza wakenya au Wtz?Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
Waafrika bana ndio maana hatuendelei, hakika naungana na Mh. Donald Trump kuwa Afrika inapaswa iendelee kutawaluwa kwakua hata haki zetu za msingi hatuzielewi hususani ''Uhuru " wetu waafrika. Lazima Wakenya watambue Uhuru wake unapoishia ndipo Uhuru Wetu au Nchi nyingine unapoanzia hivyo eidha wanamchukia(hate) au wanampeda(love)Magufuri si hoja lamsingi anatekeleza ktk kusimamia Sheria, kanuni na utaratibu wa Nchi yetu
Ushauri kwa Wakenya na baadhi ya wabongo wanaoshadadia ktk kumlaum Mh. Magufuri.
Wakenya wanatakiwa wamlaumu Mh. Uhuru Kenyatta kwa kuodhi Maeneo Makubwa yy na baadhi ya Tabaka tawala ambao wamepelekea Kenya kuwa na uhaba wa ardhi pia sehemu kubwa ya maeneo yamebinafsishwa kwa wazungu , hivyo kumnyooshea kidole Magufuri ni kutafuta lawama zisizo za msingi
Upende usipendo ndo Rais hadi 2025
Ukisikia ufala ndio huu, umeelewa kinachosemwa? Jpm kwa nini kila kitu lazima ajibishane?ukisikia upumbavu huu ndiyo namba moja. wee unafikiri JPM ana muda wa trivial issues kama vifaranga.
kwanza kama JUBILEE ndiyo walioongea hii kauli, nawapa pole wakenya.
Ukisikia ufala ndio huu, umeelewa kinachosemwa? Jpm kwa nini kila kitu lazima ajibishane?
Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya