Swali kwa wajuzi: Je, ni sahihi kumuita Hayati Magufuli Mtakatifu?

SN.BARRY

JF-Expert Member
Oct 12, 2012
4,040
8,895
Ilitokea jana Chato. Naomba wachangiaji wawe wa kanisa la Roman Catholic tu kwani hawa ndio wajuzi wa haya mambo.

Wengine tukae kimya

Mtakatifu.jpg
 
Warumi 3:24
wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;

Wito wa mkristo soma hapo chini 👇👇

Waefeso 1:4
kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.

Hata wewe ni Mtakatifu
 
Hayo ni masuala ya kidini na kidhehebu mkuu , yanatofautiana Kati ya dhehebu na dhehebu , mfano Sisi wasabato hatuwez ita mtu mtakatifu hata sku moja hata awe nani. Ila Kwa wakatoliki nafkri Wana viwango vyao vya kuita mtakatifu , eg mtakatifu Papa, mtakatifu Nyerere n.k ......
 
Sasa hayo yalikuwa maoni binafsi ya mtu mmoja/wachache/wengi, kun shida gani mtu/watu wakitoa maoni Yao binasfi juu ya Hayat Magufuli?

Kipi cha kujadili hapa sasa?

Labda km maoni hayo yangekuwa yametolewa na dini/dhehebu lake au chama chake, ndio tungejadili.
Kila mtu akitoa maoni take binafsi lazima tuyajadili humu???
 
Hayo ni masuala ya kidini na kidhehebu mkuu , yanatofautiana Kati ya dhehebu na dhehebu , mfano Sisi wasabato hatuwez ita mtu mtakatifu hata sku moja hata awe nani.....Ila Kwa wakatoliki nafkri Wana viwango vyao vya kuita mtakatifu , eg mtakatifu Papa, mtakatifu Nyerere n.k ......
Ni kweli. Lakini pia mwenda zake hana utakatifu wowote . Niko tayari kukosolewa . Mtakatifu hawezi kuwa na upendeleo , huongozwa na haki .
 
Watakatifu kama Petro, Augustine, Luka, Francis nk walikuwa binadamu tu kama Magufuli na waliishi maisha ya kawaida kama Magufuli. Tofauti yao na Magufuli ni rangi ya ngozi.

Ila ni vigumu sana Magufuli kupewa utakatifu sababu siku yake ya mwisho kuingia kanisani alisimama madhabauni na akakosoa imani ya kanisa kwa science na kumuweka Mungu kama second option.
 
Ilitokea jana Chato. Naomba wachangiaji wawe wa kanisa la Roman Catholic tu kwani hawa ndio wajuzi wa haya mambo.

Wengine tukae kimya ili uzi usifutwe na moderators.View attachment 1735888
Nchi hii tu imejaa wapumbavu wengi Kama hao. Magufuli amekufa kwa mazambi yake mengi kama kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda, kumjeruhi Tundu Lissu na kuiba uchaguzi wa Oktoba 2020
 
Sasa hayo yalikuwa maoni binafsi ya mtu mmoja/wachache/wengi, kun shida gani mtu/watu wakitoa maoni Yao binasfi juu ya Hayat Magufuli?
Kipi cha kujadili hapa sasa?
Labda km maoni hayo yangekuwa yametolewa na dini/dhehebu lake au chama chake, ndio tungejadili.
Kila mtu akitoa maoni take binafsi lazima tuyajadili humu???
Jawabu Murua
 
Kwa Roma, hamna kinachoaindikana

Mbona PAPA anajiita BABA MTAKATIFU , yaaan aliona kujiita Mtakatifu haitoshi akajiita na Baba

Ili hali Yesu alisema..

Mtu asijiite Baba Duniani kwan Baba yupo mmoja na yuko juu mbingun


Bado utakatifu akasema, hamna mtakatifu Dunian




Ila kwakua Roma ni Roma, duuuhhh wana watakatifu wengi haooo
 
Warumi 3:24
wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;

Wito wa mkristo soma hapo chini

Waefeso 1:4
kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.

Hata wewe ni Mtakatifu
Mataga Mataga nakuita tena kwa mara ya tatu,Mataga,nani aliekuroga?
 
Back
Top Bottom