SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
kweli siku ya leo ni ya muhimu sana na hakika sote twatakiwa kujitathmin na hasa kuwakumbuka wenzetu waliokufa kwa maradhi haya.
me swali langu ni kuwa je kuhusu hivi vipimo vyetu je ni kweli kuwa sasa hivi kuna kipimo ambacho chaweza kumpima mtu alieambukizwa vvu hata masaa 24 yaliyopita???nauliza hivi sababu pale aghakhan wakina mama wajawazito hupima mara moja tu wakati wa kuanza clinic je hakuna umuhimu wa kurudia tena baada ya miezi mitatu,?????
nilisikia kuwa mate hayaambukizi ukimwi but tunaambiwa ss hivi kuna kipimo kinachotumia mate tu je kuna ukweli wowote ktk hili na kama mate yanaweza kuambukiza vipi kuhusu kushea vijiko,glass sahan n.kpls mtusaidie ktk haya
me swali langu ni kuwa je kuhusu hivi vipimo vyetu je ni kweli kuwa sasa hivi kuna kipimo ambacho chaweza kumpima mtu alieambukizwa vvu hata masaa 24 yaliyopita???nauliza hivi sababu pale aghakhan wakina mama wajawazito hupima mara moja tu wakati wa kuanza clinic je hakuna umuhimu wa kurudia tena baada ya miezi mitatu,?????
nilisikia kuwa mate hayaambukizi ukimwi but tunaambiwa ss hivi kuna kipimo kinachotumia mate tu je kuna ukweli wowote ktk hili na kama mate yanaweza kuambukiza vipi kuhusu kushea vijiko,glass sahan n.kpls mtusaidie ktk haya