Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Soma.vizuri kanuni na sheria za utumishi wa umma. Kuna siku watakuja kulipwa pesa nyingi sana wale. Mtumishi wa umma hafukuzwi kama unavyofukuza malaya baada ya kumaliza shida zako.mlikurupuka mtajuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania bhana na wakikamatwa kuna watu watalalamika kwamba nchi haina demokrasia.
Sent using Jamii Forums mobile app