Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,468
Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa, rejea swali hapo juu. Mi sina uwezo wa kukuona nikuulize swali hili. Ila nakuamini sana ktk utendaji wako. Wengi wamefikishwa mahakamani kwa ufisadi ila hawa waliokula mishahara hewa ya watu takriban elfu 19 kwa muda mrefu ni lini utaanza kuwakamata na kuwashtaki na ikiwezekana warudishe fedha hizi za umma?