Swali kwa – Nguli, FL1, Kaizer, bht, MJ1, Babra, Geoff, De Novo, PJ, Fidel,Preta, Kir

  • Asante kwa jibu la kutoka moyoni mwako MJ1, Swali la nyongeza kwakuwa hivi karibuni Ndg. Geoff atapata wife. Je huoni umuhimu wa wewe baada ya harusi yao kuwaalika nyumbani kwako na kuwapa ushauri wa kuiweka ndoa yao kwenye magrudumu mapya kila siku?
Sipo
kama ilivyo kwa maisha kuwa ni jinsi unavyoyapanga na kuwa na vision ya jinsi ambavyo ungependa yake na kuuweka mikakati ya kutekeleza ili kuyafanya maisha yako the way you want it- the same applies to ndoa. Hakuna formula maalumu kusema utawafundisha maarusi (even the so called kitchen parties huwa hazina mafundisho yanayofanana ingawa zote zinadhumuni moja) so there is nothing that I would be able to tell them (Mr& Mrs Geoff) ambavyo ni unique vitakavyofanya wao waishi maisha bora ya ndoa zaidi ya wao kuamua ni ndoa ya aina gani wangependa wawe nayo na wapange mikakati na kuwa determined kuhakikisha they eat their cake the way they wish it served.
 
bht - Kwanini huoni umuhimu wa kwenda kutoa michango yako ya mawazo kwa
wanawake wa huko vijijini kuliko hawa wa hapa JF ambao wengi wao ni waelewa na wana nafasi ya kupata elimu hii hata kutoka kwa waume au wapenzi wao?


kwa sababu naamini uelewa wetu ni tofauti (we compliment each other here) no one knows enough!!!

hao wa vijijini nikiwafikia huwa sisiti kushirikiana nao uelewa wangu na wao wananishirikisha wao.

kwa hiyo kwa sasababu kwa wakati huu ni hawa wanawake wenzangu wa JF ambao tuna-interact oftenly siwezi kusubiri mpaka siku ntakayoenda kijijini ndo nianze kushirikiana ujuzi. wakati nikisubiri hiyo opportunity why should I deprive myself of the one which is just infront of me??????
 
Fidel80 - Watoto yatima wakihitaji usaidizi na msaada wako unafikiria kuwapa au
kuwaambia au kuwasaidia nini? Na je ndoa ya rafiki yako ikivunjika

unategemea kumsaidiaje?



Ahsante sana kwa swali lako mkuu Sipo.
Watoto Yatima wakiomba msaada kwangu nitawasaidia kulingana na uwezo wangu baada ya kujua wanataka msaada gani wa hali na mali au wa kiroho kwa maana mm ni shemasi naweza kuwasaidia pia kwa roho pia sio kila mtoto yatima anaomba msaada wa pesa kama wengi wanavyo fikiria wengine baba zao wamewaachia mali sasa wanaomba msaada jinsi ya kusimamia mali hizo.
Swali la pili: Kama rafiki yangu ndoa yake imevunjika msaada wa chap chap ni kumpa kwanza nyumba ndogo iendelee kumfariji huku nikifanya upembuzi yakinifu kujua ni nn chanzo kilicho fanya ndoa yao kuvunjika kwa kuhoji pande zote mbili maana mm ni rafiki wa hii ndoa nitamhoji mama nitamhoji baba pia. Ila wakati huo lazima niwe nimetafutia kipoozeo maana hata mgonjwa mahututi kabla hajachukuliwa vipimo lazima anakuwa amepewa huduma ya kwanza first aid.
 
kwa sababu naamini uelewa wetu ni tofauti (we compliment each other here) no one knows enough!!!

hao wa vijijini nikiwafikia huwa sisiti kushirikiana nao uelewa wangu na wao wananishirikisha wao.

kwa hiyo kwa sasababu kwa wakati huu ni hawa wanawake wenzangu wa JF ambao tuna-interact oftenly siwezi kusubiri mpaka siku ntakayoenda kijijini ndo nianze kushirikiana ujuzi. wakati nikisubiri hiyo opportunity why should I deprive myself of the one which is just infront of me??????

Aminia mpendwa...Majibu mazuri mnooo...Safi sana,am proud of you
 
First Lady1 - Kwanini si lazima kwako wewe kwenda kumsalimia waziri wkati huko
vijijini wanapanagana barabarani japo kumpungia mkono?

thanks sipo kwa swali zuri sana muda unanitupa mkono kwa sasa 5:21 PM
nitatoa jibu zuri na la ufasaha zaidi kesho mola akijaalia .. naenda kumpikia mheshimiwa
 
thanks sipo kwa swali zuri sana muda unanitupa mkono kwa sasa 5:21 PM
nitatoa jibu zuri na la ufasaha zaidi kesho mola akijaalia .. naenda kumpikia mheshimiwa


Kwani yeye hana mikono au inaumwa ama kitchen hakujui? :rolleyes::rolleyes:
 
Swali la pili: Kama rafiki yangu ndoa yake imevunjika msaada wa chap chap ni kumpa kwanza nyumba ndogo iendelee kumfariji huku nikifanya upembuzi yakinifu kujua ni nn chanzo kilicho fanya ndoa yao kuvunjika kwa kuhoji pande zote mbili maana mm ni rafiki wa hii ndoa nitamhoji mama nitamhoji baba pia. Ila wakati huo lazima niwe nimetafutia kipoozeo maana hata mgonjwa mahututi kabla hajachukuliwa vipimo lazima anakuwa amepewa huduma ya kwanza first aid.
Mbona umekua bias ivyo mkuu.....inamaana we marafiki zako wote ma men? au ni vise versa hata kwa wadada?
 
Mbona umekua bias ivyo mkuu.....inamaana we marafiki zako wote ma men? au ni vise versa hata kwa wadada?

Sasa kwa dada nimtafutie mwanaume??? Wakati mm mwenyewe nipo we jamaa bana huyo namega mwenyewe
 
Mbona umekua bias ivyo mkuu.....inamaana we marafiki zako wote ma men? au ni vise versa hata kwa wadada?

fisi toka lini akapewa ngozi akailoweke???? lazima ataishughulikia njiani

Sasa kwa dada nimtafutie mwanaume??? Wakati mm mwenyewe nipo we jamaa bana huyo namega mwenyewe
...................................
 
fisi toka lini akapewa ngozi akailoweke???? lazima ataishughulikia njiani


...................................

Una akili sana mtoto wewe ndo maana umepata mchumba mwaminifu
 
Una akili sana mtoto wewe ndo maana umepata mchumba mwaminifu
asante kwa kulitambua hilo and my mchumba is aware of that!!!!!!!! jirekeishe na wewe upate mwandani wako sasa!! its about time!!!
 
bora sijaulizwa hayo maswali?

hebu ngoja nimuulize maswali mawili sipo
SIPO. (1) je Kwa nini na mantiki gani umewauliza maswali wahusika?
(2) Ni kwa nini umewalenga hao uliowataja pekee?
 
thanks sipo kwa swali zuri sana muda unanitupa mkono kwa sasa 5:21 PM
nitatoa jibu zuri na la ufasaha zaidi kesho mola akijaalia .. naenda kumpikia mheshimiwa

mtunze mume mwayego atuongozee njii hiii vizuri!!!

Kwani yeye hana mikono au inaumwa ama kitchen hakujui? :rolleyes::rolleyes:

hatukufunzwa hivo wenzio jamani

Majibu tafadhali:

thats why she got married (remeber the movie why didi i get married?......jus kidding thou!!)
 
Preta - Kwanini umsaidie mama mjamzito vifaa vya kujifungulia wakati ni jukumu la
serikali?

Ni jukumu la serikali ndio lakini nchi yetu hii ilishauzwa my dear townmate, kama unavyojua nikianzia na hospital yetu ya mkoa, unaweza kusema unasubiri wampe mama mjamzito vifaa? hilo haliwezekani zaidi ya mama huyo kuambulia matusi huku akiwa na uchungu,rushwa imetawala, vifaa vile japo ni haki ya wamama hao huwa wanauziwa.......kwa upande mwingine naweza kusema serikali imejisahau kidogo kwa hilo....maneno mengi utekelezaji mdogo
 
Back
Top Bottom