Swali kwa Nape Nnauye tu.

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Unazungumziaje kuporomoka kwa CCM Igunga na kupanda kwa upinzani, hususan CDM huko Igunga, achilia mbali Tanzania kwa ujumla. Tuache blahblah, tujadili ukweli
 
Hawezi kukupa ukweli, ukweli kwa hao magamba ulishawekwa masaburini
 
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari Nape anaona ccm imepanda chati na kujivua gamba ndiko kumesababisha ishinde huko igunga, Hivyo swali hilo unapomuuliza Nape - jibu liko wazi!
Ngoja tusubiri jibu lake
 
Naam katoa kauli kama hiyo kwamba, "Ushindi wao umesababishwa na kujivua gamba na mageuzi ndani ya CCM." Mie sijui gamba wamelivua lini na mageuzi yepi yaliyofanyika ndani ya CCM na yalifanyika lini. Ni bora tu angesema ushindi wao umesababishwa na uchakachuaji mkubwa wa kura uliofanyika usiku kucha.

Kutoka gazeti la Habari leo:

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwamba ushindi wake katika ubunge wa Igunga na kata 17 kata ya 22 zilizofanya Uchaguzi Mdogo nchini mwishoni mwa wiki ni uthibitisho kwamba wananchi wameyakubali mageuzi ndani ya chama hicho.

Chama hicho kimekilaumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kusababisha watu wachache wajitokeze kupiga kura Igunga, kwa kujenga hofu iliyotokana na matukio ya vurugu za chama hicho.

Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

"Ushindi wetu wa ubunge katika Jimbo la Igunga na udiwani katika kata 17 kati ya 22, ni uthibitisho kwamba mageuzi tunayofanya ndani ya chama yanakubalika kwa wananchi," alisema Nape na kuongeza:

 
Ha
Naam katoa kauli kama hiyo kwamba, "Ushindi wao umesababishwa na kujivua gamba na mageuzi ndani ya CCM." Mie sijui gamba wamelivua lini na mageuzi yepi yaliyofanyika ndani ya CCM na yalifanyika lini. Ni bora tu angesema ushindi wao umesababishwa na uchakachuaji mkubwa wa kura uliofanyika usiku kucha.

Kutoka gazeti la Habari leo:

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwamba ushindi wake katika ubunge wa Igunga na kata 17 kata ya 22 zilizofanya Uchaguzi Mdogo nchini mwishoni mwa wiki ni uthibitisho kwamba wananchi wameyakubali mageuzi ndani ya chama hicho.

Chama hicho kimekilaumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kusababisha watu wachache wajitokeze kupiga kura Igunga, kwa kujenga hofu iliyotokana na matukio ya vurugu za chama hicho.

Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

“Ushindi wetu wa ubunge katika Jimbo la Igunga na udiwani katika kata 17 kati ya 22, ni uthibitisho kwamba mageuzi tunayofanya ndani ya chama yanakubalika kwa wananchi,” alisema Nape na kuongeza:


Nape akili yake ni finyu sijui ana elimu gani, ukiangalia matokea ya igunga na sehemu zingine wagombea wa ccm wameshinda kwa kura chache sana,haoni kama hilo ni anguko la ccm,kaa utafakari sio kila siku kuropoka tu, angalia mwenzako january,mwisho nawPa hongera makamanda wote wa cdm
 
Nape kaa chonjo magamba yamekuzunguka hadi M/kiti ni gamba sasa nani atambandua mwenzake.
 
Back
Top Bottom