measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Tumesikia bungeni uchangiaji Wa ripoti ya Mh Mrema na Mh Zitto. Kwa haya inaonekana Waziri Wa Fedha na Biashara na pia wakuu Wa idara za serikali takribani zote ni mafisadi Wa kutupwa, je falsafa ya kujivua gamba inawahusu au iliwalenga EL, RA na AC? Nape unapiga vita ufisadi ila nadhani ni vita ya panzi hiyo.