Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
Tuna watu wengi wanaijua sana biblia lakini ni watenda dhambi wakubwa.
Mwakyembe ni kama askari aliyepewa silaha nzuri kwaajili ya kulinda jamii yake lakini akageuka kuwa jambazi, akaitumia silaha ile ile kuiangamiza jamii yake. Huyu anakuwa jambazi hatari kuliko jambazi asiyekuwa na mafunzo ya kutumia silaha.
Mwakyembe ni kama askari aliyepewa silaha nzuri kwaajili ya kulinda jamii yake lakini akageuka kuwa jambazi, akaitumia silaha ile ile kuiangamiza jamii yake. Huyu anakuwa jambazi hatari kuliko jambazi asiyekuwa na mafunzo ya kutumia silaha.
Nikuambie kitu!!! Kama unauwezo wa kumfikia Mwakyembe na akawa na muda wa kutoa somo juu ya haki asilia, fanya hivyo. Anajua kila nadharia hata Lisu unayemuamini kafundishwa na huyu.