Swali kwa Mwakyembe: Ina maana alilidanganya Taifa juu ya Richmond? Ukweli upi atauleta ulio kweli?

Tuna watu wengi wanaijua sana biblia lakini ni watenda dhambi wakubwa.

Mwakyembe ni kama askari aliyepewa silaha nzuri kwaajili ya kulinda jamii yake lakini akageuka kuwa jambazi, akaitumia silaha ile ile kuiangamiza jamii yake. Huyu anakuwa jambazi hatari kuliko jambazi asiyekuwa na mafunzo ya kutumia silaha.

Nikuambie kitu!!! Kama unauwezo wa kumfikia Mwakyembe na akawa na muda wa kutoa somo juu ya haki asilia, fanya hivyo. Anajua kila nadharia hata Lisu unayemuamini kafundishwa na huyu.
 
Tatizo sio somo! Tatizo ni kuwa Nchi yetu imejaa unafiki na uoga wa kupoteza nafasi zao za uwazir
Kwa hali hii kudanganywa ni rahisi mno
Anajua kilicho mtoa Nape pale ni kufuatilia habari za bashite. Je yeye ni nani hata aendeleze na kile kilichomtoa mwenzie?
Je hakuna mashart ya chini chini ya hiyo nafasi kama onyo kabla ya kupewa hiyo nafasi?
Hapo hakuna cha elimu yake hapo unatakiwa ufuate anachotaka boss.
Je unakumbuka alitoka wizara gani na yaliyo mkuta huko baada ya kutoa tamko na boss wake kulikataa??
Yeye naye ni mtu uoga ulisha mwingia! Anaongozwa na hisia za uoga tu, kuna siku utaamni maneno yangu hatakama sio Leo.
Hayo ni mabunio yako, nenda kayahakiki kwa kufanya uchunguzi. Utakuja kutupa ukweli uliouona unaothibitisha mabunio yako. Ila siwezi kuamini haya kwa sasa.
 
Ndio maana mwakyembe amesema alivyosema kama wanabisha hoja irudishwe mezani waone kama manywele hatanyea ndoo
Kwa hiyo mahakama ya mafisadi ni ya kinanani? Kwanini asipeleke huo ukweli huko? Kilichomfanya kuficha ukweli mwingine ni nini? Nani alikuwa analindwa hapo? Wote tunajua muhusika mkuu alikuwa nani, je anataka kumlipua sasa hivi kwa sababu hayupo madarakani? Je unajua tukiamua kuchuja watu safi ndani ya CCM hakuna atajaye pona? Je unafahamu ishu za mzee wa mabarabara zinajulikana sana ila watu wamefumba macho tu? Unajua ishue za Mwaki na mabehewa?
 
Tuna watu wengi wanaijua sana biblia lakini ni watenda dhambi wakubwa.

Mwakyembe ni kama askari aliyepewa silaha nzuri kwaajili ya kulinda jamii yake lakini akageuka kuwa jambazi, akaitumia silaha ile ile kuiangamiza jamii yake. Huyu anakuwa jambazi hatari kuliko jambazi asiyekuwa na mafunzo ya kutumia silaha.
Haya ni mabunio. Njoo na utafiti wa kuyathibitisha.
 
Usitujazie server bure.Mwakyembe kasema kama mnaona Lowasa alionewa au kwanamna moja au nyingine makosa yalifanyika pelekeni hoja bungeni ili lile sakati lirudiwe kujadiliea bungeni
Hahahaha kwahiyo ninyi wabunge wa ccm hamna uchungu na ufisadi ktk nchi hii hadi Chadema pekee wanaoweza kupeleka hoja tena ndani ya bunge?!!!!
 
Hayo ni mabunio yako, nenda kayahakiki kwa kufanya uchunguzi. Utakuja kutupa ukweli uliouona unaothibitisha mabunio yako. Ila siwezi kuamini haya kwa sasa.

Wengi wanaigiza upofu!!!
Sio mbaya kama ukiamua kuwa kipofu!
Samahani kada!!!
 
Back
Top Bottom