Swali kwa Mwakyembe: Ina maana alilidanganya Taifa juu ya Richmond? Ukweli upi atauleta ulio kweli?

HOJAJI
1. Kwamba amekiri kuwa ALILIDANGANYA Bunge
Je, Ambacho HAKIKUWA cha kweli katika taarifa ile ya kamati ni kipi?
Je, alidanganya kwa faida ya nani?
Kama hakuona haja ya kumhoji mtuhumiwa kwa kuwa ushahidi ulikuwa wazi, Je ni ushaidi upi ambao ulikuwa wazi? Je nao ni miongoni mwa UONGO?

2. Kwamba, KAMA WAPINZANI WANATAKA UKWELI.....
Je, kamati ilisema uongo kwa ajili ya nani?
Je, ukweli utasemwa kwa sababu ya wapinzani na sio wananchi walioilipa kamati?
Je, upinzani haukuwepo wakati ule ndio maana alilidanganya bunge?

3. Kwamba, alilidanganya bunge lakini sasa anataka kusema ukweli.
Je, kama alisema uongo wakati ule, tutaamini vipi kama atakachosema sasa ndicho cha kweli?
Kama alipewa kamati na akasema uongo, huu ukweli wa leo anauleta wapi?

4. Kwamba ushahidi ulikuwa wazi.
Je, kwa nini hajatoa huo ushahidi ili kuithibitishia mahakama juu ya watuhumiwa hawa wanaoachiwa huru?

5. Kama yeye ni mkweli hivyo, kwa nini harudishi fedha alizotumia kwenye kamati na matokeo yake ni uongo?

6. Kwamba kamati nzima imetuhumiwa kuwa haikusema kweli, na wao wamekaa kimywa kudhihirisha KWELI waliongopa. Hivi kamati nzima jamani...
Lord have mercy

7. Je, aliikataa ripoti ya kamati ya uvamizi wa clouds, akiifananisha na kamati aliyokuwemo,mkwamba nayo INAONGOPA kama walivyofanya wao? Je kati ya ushahidi wa IDADI kubwa ya maswali alouliza katika sakata la Richmond na ushahidi wa cctv, na hojaji, upi ni ushahidi DHAHIRI?

ff26210ce0af871c3ee216b8685f0289.jpg

Kaazi kwenu mliomkaribisha ngamia ndani ya hema
 
Aliachia ngazi kwaajili ya fitna na kwa manufaa ya chama na rais.

Labda fitna za chadema maana viongozi wa chadema ndiyo walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi. Umesahau? Au bado ulikuwa kichinchiri na hayo huyaelewi tukukumbushe?
 
Rais Magufuli ana kazi kwa mawaziri aina ya Mwakyembe ni wakati muafaka sasa apumzike.Hakika bado ni mgonjwa.
 
Aliachia ngazi kwaajili ya fitna na kwa manufaa ya chama na rais.

Alikwepa kujieleza mbele ya bunge akakimbilia kujiuzuru ili kukwepa ukweli na kuumbuka.
Walaaniwe wote walioshirikiana kuunda mitandao ndani ya vyama vya kisiasa kwa lengo la kujinufaisha binafsi na washirika yao
 
Labda fitna za chadema maana viongozi wa chadema ndiyo walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi. Umesahau? Au bado ulikuwa kichinchiri na hayo huyaelewi tukukumbushe?
Lowassa alimuokoa best yake JK,jamaa likaja kumgeuka!
 
HOJAJI
1. Kwamba amekiri kuwa ALILIDANGANYA Bunge
Je, Ambacho HAKIKUWA cha kweli katika taarifa ile ya kamati ni kipi?
Je, alidanganya kwa faida ya nani?
Kama hakuona haja ya kumhoji mtuhumiwa kwa kuwa ushahidi ulikuwa wazi, Je ni ushaidi upi ambao ulikuwa wazi? Je nao ni miongoni mwa UONGO?

2. Kwamba, KAMA WAPINZANI WANATAKA UKWELI.....
Je, kamati ilisema uongo kwa ajili ya nani?
Je, ukweli utasemwa kwa sababu ya wapinzani na sio wananchi walioilipa kamati?
Je, upinzani haukuwepo wakati ule ndio maana alilidanganya bunge?

3. Kwamba, alilidanganya bunge lakini sasa anataka kusema ukweli.
Je, kama alisema uongo wakati ule, tutaamini vipi kama atakachosema sasa ndicho cha kweli?
Kama alipewa kamati na akasema uongo, huu ukweli wa leo anauleta wapi?

4. Kwamba ushahidi ulikuwa wazi.
Je, kwa nini hajatoa huo ushahidi ili kuithibitishia mahakama juu ya watuhumiwa hawa wanaoachiwa huru?

5. Kama yeye ni mkweli hivyo, kwa nini harudishi fedha alizotumia kwenye kamati na matokeo yake ni uongo?

6. Kwamba kamati nzima imetuhumiwa kuwa haikusema kweli, na wao wamekaa kimywa kudhihirisha KWELI waliongopa. Hivi kamati nzima jamani...
Lord have mercy

7. Je, aliikataa ripoti ya kamati ya uvamizi wa clouds, akiifananisha na kamati aliyokuwemo,mkwamba nayo INAONGOPA kama walivyofanya wao? Je kati ya ushahidi wa IDADI kubwa ya maswali alouliza katika sakata la Richmond na ushahidi wa cctv, na hojaji, upi ni ushahidi DHAHIRI?
Yeye alikuwa waziri wa katiba na sheria.na pia wameanzisha mahakama ya mafisadi.sasa alishindwaje kupeleka ushahidi mahakamani.na bado anasema anao ushahidi anashindwaje kupeleka mahakamani.
 
Ni wenye akili nyanya na za kishogashoga ndo wa naamini lowasa alionewa. Wanaume rijali hawezi kila wakati kuhoji issues zilizokamilika na zilizokwisha jadiliwa mjadala ukafungwa.

Mwakiembe yuko sawa na mwenye mashaka naye akajifungue wodini.

Jamani;
Mbona mods mnaruhusu watu wenye nia ovu kuzichafua threads za watu?? Sasa huyu mtangaza biashara zake mbovu ameingiaje hapa?? Hao aliowaona mashoga humu jf mbona hawaambii waanzishe thread yao?? Acheni wenye akili timamu wajadili mambo. Huo mjadala ulifungwa kibabe ndo maana sasa unataka kuibuka. Swali ni Je, ccm mpo tiyari kufukua makaburi?? Kule unyamwezini tuna kamsemo; Let sleeping dogs lie. Usimwamshe mbwa aliye lala, Nadhani, Mwaki alijisemea tu ila mzaha mzaha, Isihaka akazaliwa. Msijione kuwa salama saana. Mark ma words.
 
Yeye alikuwa waziri wa katiba na sheria.na pia wameanzisha mahakama ya mafisadi.sasa alishindwaje kupeleka ushahidi mahakamani.na bado anasema anao ushahidi anashindwaje kupeleka mahakamani.

Lakini yote haya kayaanzisha nani kama sio Joshua Nassari na konyagi yake
 
Wewe kuwa na akili kutokusema ukweli wote si kudanganya. Hayo aliyobakiza ni silaha ya msaada. Hata kwenye mapambano na majambazi yanayoendelea huko mkuranga tumeona polisi wakitembea na silaha nzito zikikokotwa na gari. Silaha hizo mpaka sasa hazijatumika kwani hatujazisikia zikilia. Kutokuzitumia si kwamba ni mbovu au ni za uongo. Ni kwasababu zile za mkononi zinatosha kwa vikwazo vilivyopo.
Lowasa alianguka chini na kugalagala kuomba amani mara baada ya Mwakyembe kupasha ulingoni. Hivyo hakukuwa na sababu ya kumrushia ngumi. Kama amepata nguvu aje ulingoni aone mambo. Hivyo si lazima umalize silaha zote kwenye windo moja ambalo mshale au risasi moja inatosha

Sina haja ya maswali mengi! Swali moja tu la msingi, nataka tofauti ya kiubora ya hizi kamati mbili
Kamati ya 2008 ya Mwakyembe (Richmond)na hii ya Nape 2017 ya sakata la uvamizi Wa kituo cha habar.
Kipi kinsaifanya kamati moja kuwa kukubalika na nyingine kukataliwa na Mwakyembe???????
 
Sina haja ya maswali mengi! Swali moja tu la msingi, nataka tofauti ya kiubora ya hizi kamati mbili
Kamati ya 2008 ya Mwakyembe (Richmond)na hii ya Nape 2017 ya sakata la uvamizi Wa kituo cha habar.
Kipi kinsaifanya kamati moja kuwa kukubalika na nyingine kukataliwa na Mwakyembe???????
Nikuambie kitu!!! Kama unauwezo wa kumfikia Mwakyembe na akawa na muda wa kutoa somo juu ya haki asilia, fanya hivyo. Anajua kila nadharia hata Lisu unayemuamini kafundishwa na huyu.
 
Nikuambie kitu!!! Kama unauwezo wa kumfikia Mwakyembe na akawa na muda wa kutoa somo juu ya haki asilia, fanya hivyo. Anajua kila nadharia hata Lisu unayemuamini kafundishwa na huyu.

Tatizo sio somo! Tatizo ni kuwa Nchi yetu imejaa unafiki na uoga wa kupoteza nafasi zao za uwazir
Kwa hali hii kudanganywa ni rahisi mno
Anajua kilicho mtoa Nape pale ni kufuatilia habari za bashite. Je yeye ni nani hata aendeleze na kile kilichomtoa mwenzie?
Je hakuna mashart ya chini chini ya hiyo nafasi kama onyo kabla ya kupewa hiyo nafasi?
Hapo hakuna cha elimu yake hapo unatakiwa ufuate anachotaka boss.
Je unakumbuka alitoka wizara gani na yaliyo mkuta huko baada ya kutoa tamko na boss wake kulikataa??
Yeye naye ni mtu uoga ulisha mwingia! Anaongozwa na hisia za uoga tu, kuna siku utaamni maneno yangu hatakama sio Leo.
 
Back
Top Bottom