Masikini wala huna taarifa kwamba kiwanda kinajengwa Lindi na uzalishaji utaanza ndani ya miezi 9. Kubonyeza keyboard ni rahisi kuliko kufikiria hiko unachotaka kuandika...!!
Nchi ya ajabu sana hii. Wanalia fedha zile kutochukuliwa na wahindi wenye uraia wa nchi mbili na ambao wangekwenda kuzificha India na Canada, badala ya kujenga kiwanda kitakachoinua uchumi wa nchi wa kuzalisha ajira, kuchangia kodi na kuchochea biashara! Sasa kiwanda kimeanza kujengwa wamebaki midomo wazi na sasa wamerukia kwenye tawi lingine. Kuna watu wameshika kila nafasi kubwa hapa nchini na sasa wanataka kuishi magogoni lakini zaidi ya kujinufaisha binafsi na familia zao, hakuna lolote la kijivunia kwa wananchi wao. MEMBE UNAOGOPWA MZEE, ENDELEA KUwATIA HOMA JAPO NAJUA HUJAOTESHWA