KISANTILITEDI
Member
- Dec 31, 2009
- 96
- 27
Dr slaa na chadema wangetangazwa kuwa wameshinda uchaguzi wa oct mwaka huu na tume ya jaji makame na nec, kisha ccm wakakataa kuachia madaraka, je ni kile kitabu kinaitwa katiba ya jamhuri ya muunganoo wa tanzania kingewasaidia?