Swali kwa madaktari/Wajuvi naomba mnijuze

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Swali kwa madaktari/Wajuvi naomba mnijuze,

Hivi ikikitokea mtu amepata ajari/damage ya kichwa na kupata madhara ya kufuta kumbukumbu zake zote yaani kila kitu kimefutika kichwani(Kama ni memory tuseme imekuwa formated) je?

1:Kama alikuwa na uwezo wa kusoma na kuandika ataweza kukumbuka Alphabet hapa namaanisha haitoadhiri Uwezo wake wa usomaji kwa maana hatoitaji tena kwenda shule kujifunza a e i o u?

2:kama alikuwa ni dereva wa gari/Baiskeri, Piki piki N. K, akitoka hapo ataweza kuviendesha vyombo hivyo kama zamani au ataitaji kujifunza upya?


Ni hayo machache tu mengine watauliza wengine.

CC Zero IQ
 
Nawewe ukiachana na mke wako hutagegeda tena! au utajifunza kutongoza?
Kumbuka memory imekuwa Erased yaani ata mama na baba yako waliokuzaa hautowakumbuka kwa muda ule je utaweza kufanya hivyo vitu nilivyosema

CC Zero IQ
 
Inategemea kiasi cha uharibifu kwenye ubongo (kumbukumbu). Wengine wanapona kabisa, wengine kiasi ila hawataweza kufanya kazi tena.
Wengine hukumbuka kila kitu ila viungo haviwezi kufanya kazi. Hivyo ni kila mtu na hali yake.
Wengine hata sio ajali, bali hata athari za kiharusi zinaweza kuwa na matokeo hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mi nadhani utaweza kutembea tu! nisawa na simu ukitoa line huwezi wasiliana na marafiki zako ispokuwa emergence call tu!
 
Inategemea kiasi cha uharibifu kwenye ubongo (kumbukumbu). Wengine wanapona kabisa, wengine kiasi ila hawataweza kufanya kazi tena.
Wengine hukumbuka kila kitu ila viungo haviwezi kufanya kazi. Hivyo ni kila mtu na hali yake.
Wengine hata sio ajali, bali hata athari za kiharusi zinaweza kuwa na matokeo hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nazungumzia kufutika kwa kumbu kumbu

CC Zero IQ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom