Swali kwa BAVICHA: Kati ya Joshua Nassari na John Shibuda kauli ipi inastahili karipio?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,847
32,204
Wanabodi.

Hivi karibuni tumesiki kauli tofauti kutoka kwa wabunge wawili wa Chadema kauli ya kwanza tulimsikia Mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari.

Nassari alisema wanataka Kanda ya Kaskazini ijitenge ili kuunda taifa lao nje ya Taifa la Tanzania.

Chadema itakapotawala na kujitangazia Jamhuri ya Kaskazini, wabunge kama Mchungaji Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi, Saidi Arfi, Zitto Kabwe, Salvatory Machemuli. Na wengine watakuwa wabunge wa Jamhuri ipi?

Shibuda alisema anataka kugombea Urais kupitia Chadema mwaka 2015 baada ya kusema hayo Bavicha walitoka tamko kali dhidi ya Shibuda, kupinga kauli yake ya kugombea Urais. cha ajabu Bavicha ilikaa kimya haikumgusa Nassari.

Bavicha inaunga mkono ama inakubaliana na kauli ya Nassari kutaka mikoa ya Kaskazini ijitenge, ijinyofoe na kutoka kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wananchi tulinganishe kati ya kauli ya Nassari na kauli ya Shibuda ni ipi inastahili karipio kutoka kwa Bavicha.
 
Huna jipya Ritz,umekosa propaganda ya utoke vp baada ya ile ya ukaskazini kupotezwa na uliyoyaona kusini.WEWE NA NAPE NI WAZANDIKI.
 
wapi nassari alisema kanda ya kaskazini inajitoa kwenye jamhuri ya muungano?
 
Wanabodi.

Hivi karibuni tumesiki kauli tofauti kutoka kwa wabunge wawili wa Chadema kauli ya kwanza tulimsikia Mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari.

Nassari alisema wanataka Kanda ya Kaskazini ijitenge ili kuunda taifa lao nje ya Taifa la Tanzania.

Chadema itakapotawala na kujitangazia Jamhuri ya Kaskazini, wabunge kama Mchungaji Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi, Saidi Arfi, Zitto Kabwe, Salvatory Machemuli. Na wengine watakuwa wabunge wa Jamhuri ipi?

Shibuda alisema anataka kugombea Urais kupitia Chadema mwaka 2015 baada ya kusema hayo Bavicha walitoka tamko kali dhidi ya Shibuda, kupinga kauli yake ya kugombea Urais. cha ajabu Bavicha ilikaa kimya haikumgusa Nassari.

Bavicha inaunga mkono ama inakubaliana na kauli ya Nassari kutaka mikoa ya Kaskazini ijitenge, ijinyofoe na kutoka kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wananchi tulinganishe kati ya kauli ya Nassari na kauli ya Shibuda ni ipi inastahili karipio kutoka kwa Bavicha.

Kuna Watanzania wako kama ndege KASUKU na wewe ni moja wapo, Mimi katika ule mkutano wa ARUSH nilikuwepo sasa nashangaa baadhi ya KASUKU wamekaririshwa na kukariri kweli, Nasar alitaja mikoa mingi sasa cha ajabu ni ile ya kanda ya ziwa kuondolewa na kubakiza ya kaskazini, Mbona ya Mwanza, Shinyanga na Mara mmeitoa? ni kwa nini? na kwa nini mmeacha ya Arusha pekee?

Kwenye zile thread za watu buku 3 kuvua gamba huonekani unaingia kama guest, ila unasubiria uje na negative thread humu, wewe unazani walio vua gamba huko mtwara hawajasikia hiyo story ya Nasar? WATANZANIA WA LEO SIO KAMA WALE WA ZEE WALIO BAKIA WANZILSIHI WA TAA NA TANU NA ASP wale ndo unaweza wapelekea porojo hizi

Mwisho mkuu mimi nawashauri muje humu na thread za kuonyesha mazuri ya CCM na muwe manjitahidi kutetea hizo thread zenu, tafuta hata newa nzuri za kuhusu CCM na post huku na anza kuzitetea hapo utakuwa unasaidia chama chako, Make sasa hivi nyie na wakina William Malechela mnakuja na thread negativu tu humu zidi ya CHADEMA, mbona watu wa CHADEMA wao wanakuja na thread za kusifia CDM? kwa nini nyie msije na za kusifia chama chenu? NAANZA KUKUBALIANA NA MANENO YA MAIGE, NYIE NA WAKINA NAPE MKO KATKA PROGRAM YA KUZIKA NYINYIEMU YENU
 
Kwanza kamulize Nape ajibu hoja zifuatazo
- Je yeye ni mwanachama halali wa CCM?na kama jibu ni ndio tunaomba alete document muhimu hapa jamvin kwakua hoja hii iliibukia hapahapa jamvini
- Je nape anaweza akauzibitishia umma juu ya kile anacho kisema Maige?pamoja kuwa maipe anaweza kutokua msafi?
Ukimaliza hapo,njoo ulekebishe kauli ya nassari nazani umeichakachua,alafu uitofautishe na kauli ya shibuda ambyo tatizo ni kuisemea ndani ya kikao cha Ccm
 
Kauli zinazohitaji makaripio ni hizi hapa, kwa kuwa zimewekwa kwa ajil ya ulaj wa wachache na kuwaacha wananch wakihenyeka katika umasikin wakutisha, maisha bora kwa kila m-tz, kilimo kwanza, mkukuta, tumethubutu, tumeweza na tunazd kusonga mbele..........
 
Nassaari aliongea ujinga wa wazi wazi lakini mwenyekiti haraka akajitokeza kunusuru kauli hiyo isifike mbali na kuleta picha mbaya.hakuna mantiki kwa bavicha kuitolea tamko kauli ambayo mwenyekiti kashaisemea.huo ni utovu wa nidhamu unaoiua ccm kwa kasi
 
Ritz,

CDM ni chama makini sana, Joshua nassari alipotoa kauli ile haikuhitaji vikao kujua kuwa kuna makosa katika lile. mwenyekiti alilikanusha pale pale na kutoa msimamo wa chama na pia Nassari mwenyewe alilitolea ufafanuzi. Kipi ambacho ulitaka wafanye zaidi ya kile kilichofanyika??? Au ulitaka wamvue uanachama ndo URIDHIKE??
 
Kuna Watanzania wako kama ndege KASUKU na wewe ni moja wapo, Mimi katika ule mkutano wa ARUSH nilikuwepo sasa nashangaa baadhi ya KASUKU wamekaririshwa na kukariri kweli, Nasar alitaja mikoa mingi sasa cha ajabu ni ile ya kanda ya ziwa kuondolewa na kubakiza ya kaskazini, Mbona ya Mwanza, Shinyanga na Mara mmeitoa? ni kwa nini? na kwa nini mmeacha ya Arusha pekee?

Kwenye zile thread za watu buku 3 kuvua gamba huonekani unaingia kama guest, ila unasubiria uje na negative thread humu, wewe unazani walio vua gamba huko mtwara hawajasikia hiyo story ya Nasar? WATANZANIA WA LEO SIO KAMA WALE WA ZEE WALIO BAKIA WANZILSIHI WA TAA NA TANU NA ASP wale ndo unaweza wapelekea porojo hizi

Mwisho mkuu mimi nawashauri muje humu na thread za kuonyesha mazuri ya CCM na muwe manjitahidi kutetea hizo thread zenu, tafuta hata newa nzuri za kuhusu CCM na post huku na anza kuzitetea hapo utakuwa unasaidia chama chako, Make sasa hivi nyie na wakina William Malechela mnakuja na thread negativu tu humu zidi ya CHADEMA, mbona watu wa CHADEMA wao wanakuja na thread za kusifia CDM? kwa nini nyie msije na za kusifia chama chenu? NAANZA KUKUBALIANA NA MANENO YA MAIGE, NYIE NA WAKINA NAPE MKO KATKA PROGRAM YA KUZIKA NYINYIEMU YENU

Chadema kupitia Mbunge wao Nassari walikuwa wanatupa jiwe mtoni na kupima kina cha maji, walitaka kuona Watanzania katika ujmla wao wanaipokeaje kauli ya Nassari.
 
Ritz,

CDM ni chama makini sana, Joshua nassari alipotoa kauli ile haikuhitaji vikao kujua kuwa kuna makosa katika lile. mwenyekiti alilikanusha pale pale na kutoa msimamo wa chama na pia Nassari mwenyewe alilitolea ufafanuzi. Kipi ambacho ulitaka wafanye zaidi ya kile kilichofanyika??? Au ulitaka wamvue uanachama ndo URIDHIKE??

MARQ.
Kauli ya Nassari ni ya uhaini na ya hatari sana kwa haiba ya Chadema, ilipasa Bavicha waikane na NEC ya Chadema ikemee, lakini ilikaa kimya, leo inamjia juu Shibuda, hii ni ishara za undumilakuwili ndani ya chama hicho.
 
Chezea siasa wewe test nje ya chama sio ndani ya chama.Kama kujaribu urijali ndani ya familia yako au nje ya familia yako jibu unalo
 
Kwa sasa nadhani sio Kauli tu...... kwa sababu Nassari aliongea tu na ikaishia hapo....Lakini hawa JUMIKI hawaongei wanafanya kweli tena kwa nguvu na ujasiri kama serikali haipo.
HILI NDIO LINAHITAJI KARIPIO KALI.
 
ritz, Kauli ya Nassari ilisahihishwa pale pale na Mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndiye msemaji mkuu wa CHAMA. Hivyo kumbukumbu ziko sawa, na sielewi ni kwanini hawa spinnning masters hawataki kuunganisha kauli rasmi ya chama kama ilivyotolewa na mwenyekiti- Mh Freeman Mbowe.

It does not help hata chembe kwa ccm kuendelea kupiga kelele kwa mambo ambayo tayari yameshatolewa ufafanuzi.

About Shibuda
Kwa mtazamo wangu, Shibuda anaiabisha CCM (sio CHADEMA). Ni hivi, CCM walimtosa, lakini sasa wanamtumia kufundisha kazi wakuu wa wilaya! Kwa qualiity zipi? Tunaambiwa CCM wana wananchama milioni 5, hivi hakuna mtu mjuzi kati yao zaidi ya hii 'reject'? Na kama CCM inamtegemea mtu wa level ya Shibuda kwenye shughuli zake, what does that say about the party (CCM)?
 
Kwa nini lakini Shibuda anasakamwa sana kama sababu ya kuogea na Rais Kikwete, mbona Antony Komu alipoamua kugombea ubunge wa Afrika ya Mashariki, aliwaendea wabunge wa CCM na kukutana nao na kuwaomba kura zao na inasemekana na takrima alitoa.
 
MARQ.
Kauli ya Nassari ni ya uhaini na ya hatari sana kwa haiba ya Chadema,
ilipasa Bavicha waikane na NEC ya Chadema ikemee, lakini ilikaa kimya,
leo inamjia juu Shibuda, hii ni ishara za undumilakuwili ndani ya chama
hicho.

kati ya mbowe na heche nani zaidi cdm? jibu ni wazi hivyo bavicha walikuwa hawana la kusema baada ya mwenyekiti wao kutamka.
 
Wanabodi.

Hivi karibuni tumesiki kauli tofauti kutoka kwa wabunge wawili wa Chadema kauli ya kwanza tulimsikia Mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari.

Nassari alisema wanataka Kanda ya Kaskazini ijitenge ili kuunda taifa lao nje ya Taifa la Tanzania.

Chadema itakapotawala na kujitangazia Jamhuri ya Kaskazini, wabunge kama Mchungaji Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi, Saidi Arfi, Zitto Kabwe, Salvatory Machemuli. Na wengine watakuwa wabunge wa Jamhuri ipi?

Shibuda alisema anataka kugombea Urais kupitia Chadema mwaka 2015 baada ya kusema hayo Bavicha walitoka tamko kali dhidi ya Shibuda, kupinga kauli yake ya kugombea Urais. cha ajabu Bavicha ilikaa kimya haikumgusa Nassari.

Bavicha inaunga mkono ama inakubaliana na kauli ya Nassari kutaka mikoa ya Kaskazini ijitenge, ijinyofoe na kutoka kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wananchi tulinganishe kati ya kauli ya Nassari na kauli ya Shibuda ni ipi inastahili karipio kutoka kwa Bavicha.


TZ tukiwa na watu 10 kama hawa kudili nao ni kazi sana...... Just imajine haya ndiyo mawazo yake... Haelewi hata mazingira ambayo Nasari ametoa yale maneno na Shibuda...

1. Nasari alikuwa kwenye mkutano wa CDM... na akasahihishwa na M/Kiti taifa Mh. Mbowe.....
2. Nasari alikuwa anashinikiza ili serikali iwashughulikie wanaCCM wanaochinja watu wa Arumeru na Polisi ambao hawataki kuwachukulia hatua.
3. Shibuda anadhalilisha chama kwa kusema hakuna Chama cha Upinzani kitakachishika Madaraka TZ.. Kitu ambacho ni kinyume na katiba ya CDM, Kuwadharau viongozi wa Upinzani wote..
 
Back
Top Bottom