Swali: Kwa ambao hawataweza kubadilisha passport zao itakuwaje?

Thelonious

JF-Expert Member
Dec 11, 2017
216
452
Uhamiaji wakati wanazindua hati mpya walisema mwisho wa matumizi ya hati za zamani ni 2020 January. Walieleweka vizuri saana. Sasa wasiwasi wangu kuna Watanzania wanaoishi nje ya nchi bado wanatumia hati za zamani na hazijaisha. Unakuta ilibadilisha mwaka jana mwanzoni na inaisha miaka mitano ijayo.

Hawa nahakika wengi hawana vitambulisho vya taifa. Na tunajua tulivyohangaika kuvipata unasubiri miezi 3. Sasa hawa watu wakishafika nchini watazuiwa hadi wapate hati mpya? Au mwisho wa matumizi maana yake nini?
 
Uhamiaji wakati wanazindua hati mpya walisema mwisho wa matumizi ya hati za zamani ni 2020 January. Walieleweka vizuri saana. Sasa wasiwasi wangu kuna Watanzania wanaoishi nje ya nchi bado wanatumia hati za zamani na hazijaisha. Unakuta ilibadilisha mwaka jana mwanzoni na inaisha miaka mitano ijayo.

Hawa nahakika wengi hawana vitambulisho vya taifa. Na tunajua tulivyohangaika kuvipata unasubiri miezi 3. Sasa hawa watu wakishafika nchini watazuiwa hadi wapate hati mpya? Au mwisho wa matumizi maana yake nini?
Kuna balozi popote walipo, wanaweza kama ilivyokuwa 2005/6
 
Sasa mimi nataka ku renew passport wananiuliza sababu ya safari na nitoe ushahidi wa barua au mwaliko wakati sina hata safari yoyote, hapo inakuaje?
 
Sasa mimi nataka ku renew passport wananiuliza sababu ya safari na nitoe ushahidi wa barua au mwaliko wakati sina hata safari yoyote, hapo inakuaje?
Acha tu Kuna Jamaa yangu Ilibidi Atafute Barua ya mualiko Asee Kama Huna mtu wa kukupa barua hiyo toka nje ya nchi jaribu Ongea tu na Jamaa Wale ma agent wanaopeleka watu nje anaweza kukusaidia Admission letter
 
Back
Top Bottom