Kumekuwa na tambo nyingi kwa watu waliotoka ktk koo za kichief wakijiona kama bado wananguvu, wengine hutumia kama cv. Je kuna nguvu gani ya uwezo tofauti kwa watu hawa, wamelifanyi taifa nn kwa siku za karibuni? Kuna haja ya kuwatukuza kama zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.