Mapembelo!
Jamani katika pitapita humu mitandaoni nakutana na hoja mbalimbali kuhusiana na chumvi ya mawe kuwa inaweza kukusaidia kukufungua au kukuzuia usipatwe na madhara yatokanayo na nguvu za giza. Hivyo nilikuwa naomba kama mtu amewahi tumia hii mbinu na ikamsaidia na namna ya kuitumia
Swali ni je Kuna chumvi maalumu ya mawe au ni hii hii tunayoona sokoni na je Kuna dawa nyingine ya kuchanganyia au ni chumvi pekee na dozi yake ikoje
Mwenye majibu au ufahamu na Hilo anisaidie nitasoma kila comment
Mwalimi siso
Jamani katika pitapita humu mitandaoni nakutana na hoja mbalimbali kuhusiana na chumvi ya mawe kuwa inaweza kukusaidia kukufungua au kukuzuia usipatwe na madhara yatokanayo na nguvu za giza. Hivyo nilikuwa naomba kama mtu amewahi tumia hii mbinu na ikamsaidia na namna ya kuitumia
Swali ni je Kuna chumvi maalumu ya mawe au ni hii hii tunayoona sokoni na je Kuna dawa nyingine ya kuchanganyia au ni chumvi pekee na dozi yake ikoje
Mwenye majibu au ufahamu na Hilo anisaidie nitasoma kila comment
Mwalimi siso