Bob_Dash
Member
- Nov 1, 2010
- 90
- 13
Kama kweli uongozi wa nchi unatakiwa kutokana na matakwa na mapendekezo ya wananchi , basi kuna haja gani ya kuwa na lundo la WABUNGE WA KUTEULIWA? isitoshe baadhi ya hao miongoni mwao wanakuja kuteuliwa kuwa MAWAZIRI wakati wananchi hawakuwachagua ama kuwakubali in first place. WHAT'S THE POINT OF THAT??? Mwenye jibu tafadhari