Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Wakuu zimepita siku nyingi sasa hatujasikia habari mpya kutoka Arusha.
Mimi binafsi nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara Lema amekuwa akisumbuliwa na jeshi la polisi kwa lengo la kunyamazisha.
Swali: Je, nini watu wa Arusha wanapenda, ni Lema au CHADEMA? Je, kumnyamazisha Lema ndio kuwanyamazisha wana Arusha? Kwamba asipokuwepo Lema ndio utakuwa mwisho wa harakati Arusha?
Nawasilisha
Mimi binafsi nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara Lema amekuwa akisumbuliwa na jeshi la polisi kwa lengo la kunyamazisha.
Swali: Je, nini watu wa Arusha wanapenda, ni Lema au CHADEMA? Je, kumnyamazisha Lema ndio kuwanyamazisha wana Arusha? Kwamba asipokuwepo Lema ndio utakuwa mwisho wa harakati Arusha?
Nawasilisha