Swali: kuhusu uchimbaji wa kaburi!

Shomari

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,112
241
Swali: naomba kuuliza ni kwanini siku zote kaburi huchimbwa kwa urefu wa futi Sita(6) kwenda chini? nimekuja kugundua kipimo hicho hakitumiki kwa Tanzania tu bali na sehemu nyingine duniani. Ni jambo gani linaweza kutokea kama ukichimba urefu unaopungua ama unaozidi hapo? na ni kwanini iwe namba sita, kuna siri gani kuhusu hiyo namba? asanteni kwa mchango wenu!
 
Mh binafsi nahisi its a standard ilowekwa perhaps ukichimba zaidi utakutana na maji na ikiwa less than futi 6 kuna risk ya udongo ukichimbwa kidogo waweza kuufikia mwili. Jaribu ku "google" labda utapata jibu la uhakika..
 
Hiyo 6ft ni urefu wako ila kwa kina haifiki size hiyo. Kwa watu wazima inaweza kuwa 6*5 au 6*4./4.5. /7*5.5.
 
Nadhani ndiyo urefu ambao unakubalika kwenye maandiko kwasababu hata Mungu alifanya kazi siku 6 na siku ya 7 akapumzika.
 
Ilikuwa ni sheria iliyotokea England kwamba lazima kaburi lazima liwe at least 6ft ili kuzuia maambukizi ya magonjwa (walidhani hii itasaidia) na wanyama kutochimba kwa urahisi. Ingawa sasa sheria hio haipo tena na 6ft imebakia kuwa msemo tu....

We' have the Great Plague of 1665 in London to thank for the expression "6 feet under." This tragic recurrence of the Bubonic Plague (which first decimated Europe in the 14th century) was the impetus for the law requiring dead bodies to be buried at least 6 feet below ground.

The comprehensive cemetery site, City of the Silent, addresses the matter on its page of frequently asked questions. English law once required a burial depth of 6 feet to ensure the corpse didn't spread the plague to the living. Of course, this measure was ineffective as fleas infected with the plague probably spread the disease. Also, few diseases are contracted from contact with dead bodies.

The same site gives a rather gruesome description of early cemeteries as being "littered with bones and bits of charnel." Furthermore, shallow graves allowed scavengers (presumably both human and animal) to easily dig up the remains -- which makes a 6-foot-deep burial seem like a decent idea. Furthermore, it's a tradition to speak of 'six feet under, but it is no longer the law, with many places in the U.S. requiring lesser amounts.


Source: How did 6 feet became the standard depth for burying people?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom