Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,551
- Thread starter
- #181
Kama kabla ya mechi, uliishaona wazi kabisa kuwa the playing field is not level, lakini ukakubali kukaa mezani na kusaini the rules of the game, na moja ya sheria hizo ni pamoja na usipopeleka timu uwanjani, timu iliyopo uwanjani, itapewa ushindi wa mezani. Dawa sio kutopeleka timu uwanjani, bali kupeleka timu na kugomea kipenga hadi uwanja usawazishwe ndipo mechi ipigwe!.Mchezo gani? Timu inaingia na kamisaa, washika vibendera na refa wao. Inaita timu pinzani wacheze. Yataka moyo wa chuma!
P