Swali kuhusu suala la uraia wa Tanzania

gasgas

JF-Expert Member
Jan 25, 2015
1,090
978
Habari za usiku mabibi na mabwana wa JF.

Kuna jambo ambalo ningependa kujua kutoka kwa yoyote mwenye ufahamu nalo. Kuhusu Uraia wa Tanzania, nimesoma Citizenship act ya Tanzania kuwa inatambua uraia wa aina tatu: Wa kuzaliwa (citizenship by birth), citizenship by descent na by registration/naturalization.

Hii citizenship by descent ipo vipi?

Tuchukulie mfano: Baba na Mama ni watanzania, walisafiri kwenda nchi nyingine (mf Australia, UK) halafu wakapata mtoto wakiwa huko.

Then wakarudi Tanzania mtoto akiwa na miezi 6 na akaishi Tanzania maisha yake yaliyobaki.

Je huyo mtoto anahitaji special arrangements ili awe considered raia wa Tanzania au act inamtambua kama raia moja kwa moja?

Je arrangements gani zinahitajika (kama zipo) kufanyika pale afikapo miaka 18?



Sent using .... who cares anyway
 
Habari za usiku mabibi na mabwana wa JF.

Kuna jambo ambalo ningependa kujua kutoka kwa yoyote mwenye ufahamu nalo. Kuhusu Uraia wa Tanzania, nimesoma Citizenship act ya Tanzania kuwa inatambua uraia wa aina tatu: Wa kuzaliwa (citizenship by birth), citizenship by descent na by registration/naturalization.

Hii citizenship by descent ipo vipi?

Tuchukulie mfano: Baba na Mama ni watanzania, walisafiri kwenda nchi nyingine (mf Australia, UK) halafu wakapata mtoto wakiwa huko.

Then wakarudi Tanzania mtoto akiwa na miezi 6 na akaishi Tanzania maisha yake yaliyobaki.

Je huyo mtoto anahitaji special arrangements ili awe considered raia wa Tanzania au act inamtambua kama raia moja kwa moja?

Je arrangements gani zinahitajika (kama zipo) kufanyika pale afikapo miaka 18?



Sent using .... who cares anyway
Citizenship by descent
A person born outside Tanzania enjoys a right to Tanzanian citizenship from birth provided that at least one parent is a Tanzanian citizen by birth or naturalization.
 
Kesi kama hiyo iliyotokea ya mtoto kuzaliwa Uingereza inampa nafasi ya kuamua, akifikia umri wa miaka 18, kuwa ama raia wa Uingereza au Tanzania kwa sababu nchi hizi mbili zinatumia mfumo unaoitwa jusssanguinis. Kwa lugha nyengine mtoto huyo hana uraia wa moja kwa moja wa nchi yoyote kati ya hizo mbili.
 
Nje ya mada, hii nchi ingekuwa ina offer dual citizenship sijui ingekuwaje.
 
Nje ya mada, hii nchi ingekuwa ina offer dual citizenship sijui ingekuwaje.
Yani wakati wa mchakato wa katiba mpya, bunge la katiba mpya lilipinga hili nilibaki na mshangao. Yani kitu Kama hiki nchi karibu zote duniani wamekipitisha lakini sisi Bado tunapinga eti badala yake kuwe na uraia maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani wakati wa mchakato wa katiba mpya, bunge la katiba mpya lilipinga hili nilibaki na mshangao. Yani kitu Kama hiki nchi karibu zote duniani wamekipitisha lakini sisi Bado tunapinga eti badala yake kuwe na uraia maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio uone hii nchi ina viongozi wanaofikiria kwa kutumia organ tofauti na ubongo hapo ukiwauliza watakujibu ni "uzalendo" damn it.
 
Yani wakati wa mchakato wa katiba mpya, bunge la katiba mpya lilipinga hili nilibaki na mshangao. Yani kitu Kama hiki nchi karibu zote duniani wamekipitisha lakini sisi Bado tunapinga eti badala yake kuwe na uraia maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi bado nashangaa kwa nn hawajaruhusu dual citizenship.... Au kuna hoja waliyoitoa inayoonyesha umuhimu wa kupinga hilo?
 
Kesi kama hiyo iliyotokea ya mtoto kuzaliwa Uingereza inampa nafasi ya kuamua, akifikia umri wa miaka 18, kuwa ama raia wa Uingereza au Tanzania kwa sababu nchi hizi mbili zinatumia mfumo unaoitwa jusssanguinis. Kwa lugha nyengine mtoto huyo hana uraia wa moja kwa moja wa nchi yoyote kati ya hizo mbili.
Na kama akiamua kuwa raia wa Tanzania anatakiwa kuchukua hatua gani?

Sent using .... who cares anyway
 
Na kama akiamua kuwa raia wa Tanzania anatakiwa kuchukua hatua gani?

Sent using .... who cares anyway
Aende uhamiaji kuomba. Achukue uthib
Na kama akiamua kuwa raia wa Tanzania anatakiwa kuchukua hatua gani?

Sent using .... who cares anyway
Aende uhamiaji kuomba. Achukue uthibitisho wa uraia wa mmoja wa wazazi
wake
 
Back
Top Bottom