TenHag Ball22
Member
- Jul 2, 2011
- 39
- 3
Habari Zenu. Nina swali kuhusu biashara. Mfano mtu upo nchi kama China au India n.k alafu unataka uanze kabiashara kadogo cha kuuza vitu kama viatu huku Tanzania kwamba unanunua viatu huko china alafu unasafirisha via express company kama dhl au via ema n.k Njia yako ya kupromote hivi viatu ni online store website. Kwamba mtu anaingia online anaorder analetewa anapokea basi. Je hii ni biashara ya kwenda TRA kufata procedures za kuchukua TIN number.... au kila kitu kinakua kishaisha na shipping agency kwa kulipa shipping fee na import tax??? Dhumuni langu ni kujua kama kuna sheria zozote inabidi zifatwe kabla ya kuanzisha biashara kama hiyo kupitia onlin store?