Mimi nadhani waliitwa tu baadhi ya wataalam wa sheria wakaketishwa ofisi ya mkuu wa kaya wa kipindi hicho na kuamuriwa waandike kitu kinaitwa katiba. Ni maoni yangu tu, sijui zaidi ya hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.