Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 3,257
- 16,999
Hili ni swali ambalo bila shaka sisi tusio na uelewa wa sheria kwa mapana yake tunajiuliza.
Katika hukumu iliyosomwa na Jaji Tiganga, mahakama imewakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa wanne.
Maana yake ni kuwa hatia imeonekana. Je, wanapaswa kujitetea adhabu ipunguzwe ama wafutiwe makosa?
Je, DPP ana uwezo wa kuondoa shauri mahakamani ambalo tayari mahakama imewakuta watuhumiwa na kesi ya kujibu?
Naomba kuelimishwa.
Katika hukumu iliyosomwa na Jaji Tiganga, mahakama imewakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa wanne.
Maana yake ni kuwa hatia imeonekana. Je, wanapaswa kujitetea adhabu ipunguzwe ama wafutiwe makosa?
Je, DPP ana uwezo wa kuondoa shauri mahakamani ambalo tayari mahakama imewakuta watuhumiwa na kesi ya kujibu?
Naomba kuelimishwa.