mwasamasole
Senior Member
- Oct 25, 2015
- 106
- 119
Je kuna ukweli kua mtu akienda Baraza la mitihani la Taifa kuomba cheti chake baada ya kupata result sleep anaweza kupewa? Kabla havijafika katika shule aliyofanyia mitihani? Naomba majibu kwa wanao fahamu hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app