moneymakerman
Member
- Jan 20, 2014
- 93
- 230
Poleni sana Watanzania wenzangu na msiba mzito. Nataka kujuzwa kama kazi za kiserikali, mashule na biashara zitafanya kama kawaida ama ni tofauti ya hapo kutokana na huu msiba wa Rais wetu?
Asanteni.
Asanteni.