mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 923
- 1,272
Wataalam wa sheria mtusaidie. Hivi sheria iliyopitishwa na Bunge tukufu na kusainiwa na Rais inaweza kusimamishwa kutumika kwa tamko la mtu mmoja? Kaamuka tokea huko alikotoka magogoni na kusema isitumike hadi 2023 .Tujielekeze kujibu swali.
Cc. Mselewa, and others
Cc. Mselewa, and others