Duniani hakuna mtu yeyote yule anayeongozwa ambaye hapokei maagizo kutoka juu....hata wewe kuna vitu ambvyo unafanya kulingana na mkuu wako ambaye yuko juu yako kma umeajiliwa.Anaweza kuwa mzuri tu kama hatokuwa tayari kupokea maagizo kutoka juu,otherwise his performance won't be all that good
Ameshaingia kwenye siasa chochote kinaweza kutokea
Muacheni astaafu vizuri mzee wa watu, upambanaji wa kweli tuwaachie akina Lisu wasio na cha kufanywa na Magu.sijaona jipya kwake zaidi ya kujipendekeza na kulamba miguu
Hana ujanja wowote , ni lazima atii maagizo ya aliyemtuma tu , ukiingia ccm akili yako unaiacha mlangoni .Wakuu salam,ama baada ya salam mi mgeni humu,ila nawaulizeni jinsi waziri wetu wa sheria anavyojibu maswali bila mihemko wala jazba.Je nini aongeze ama apunguze ili ajitofautishe na watangulizi wake? Ni hilo tuu!