swali: je ni kweli wanaume ni dhaifu tangu mimba inapotungwa?

lakini si ndio ukweli wenyewe, muongo hutumia nguvu ya ziada kuprove 'ukweli wake' au?
na kuna mtu alisema wachovu kitandani ndio wanaokuwa na videmu vingi nje, just to prove he is ......!

sababu siyo udhaifu bana, hao physical abuse husbands wana-take advantage ya masculinity yao

Ila hiyo hapo kwa red nashindwa kuliamini au kulikataa kwa sababu motivation ya kutoka nje ya ndoa inasababishwa na factors kibao, and can be one or a combination of such factors
 
Hii ni kweli scientifically proved....ila kinachokuja kunishangaza kwanini katika hali halisi ya maisha ya binadamu mwanamke ndo dhaifu kuliko mwanaume? Sijui wataalam wanaweza kuja na theory gani kwa hili?

hapo ndo hata mimi panaponipa shida. . . na ndo palipopelekea mimi kuuliza hilo swali "heading ya hii thread"
 
Kila kitu chenye value kubwa hupatikana kwa shida sana lazima uwe na uelewa wa kutosha pamoja na mbinu sahihi nje ya hapo uwe na bahati tu na siku zote huwezi ukafanya jambo ukitegemea bahati. Kupata mtoto wa kiume inatakiwa uwe na uelewa wa kutosha juu ya menstruation cycle ya mwanamke lakini kwa mwanamke sivyo.
 
HEY, MAMBO VP? Hilo swala ni kweli kati ya mwanume na mwanamke, mwanaume ni dhaifu.
 
Hili swala liko mahakamani, mjadala wake ufungwe mara moja. Kuendelea kulijadili tutakuwa tunaingilia muhimili mwingine(Mahakama) ambao hauwezi kufika hapa jamvini kurekebisha, kuongezea ama kukanusha yale tunayoyasema. Mh. Cahrminglady naomba kutoa hoja!
 
Back
Top Bottom