Swali: Je naweza kusoma degree upya baada ya kumaliza ya kwanza?

inawezekana sana....hata mwaka huu ungeunganisha inawezekana.....ni PM nikupe ujanja mie niliunganisha in the same year
 
Kwanini usisome Master's degree?Au ya kwanza uliisoma kwa nsisimko tu! Kama ulikurupuka kusoma bila dira naamini hata ukisoma nyingine your mind still itakuwa jela
 
Kama ya kwanza ulisoma kwa mkopo sidhani kama hiyo ya pili utakopeshwa tena otherwise HESLB ina mfumo mbovu sana wa utoaji mikopo.

Kama unajisomesha then sioni ugumu wowote hapo.
 
hv ukiwa fata ofisini kwao wata kupangia chuo kwer mana muda wa kuomba umekwisha.......
 
Ndio inawezekana na ndio itaitwa degree ya pili (2nd degree)
Second degree sio kua ni master? Au sijui hilo?
Mi nadhani ata ukisoma undergraduate degree 2 bado sitaitwa first degree.
Utakua na first degree mbili
 
Kama ya kwanza ulisoma kwa mkopo sidhani kama hiyo ya pili utakopeshwa tena otherwise HESLB ina mfumo mbovu sana wa utoaji mikopo.

Kama unajisomesha then sioni ugumu wowote hapo.
Na hili nilitaka kuuliza, but kuomba mkopo sio lazima
 
Kwanini usisome Master's degree?Au ya kwanza uliisoma kwa nsisimko tu! Kama ulikurupuka kusoma bila dira naamini hata ukisoma nyingine your mind still itakuwa jela
Nataka kupata wide knowledge kwenye field nyingine mkuu
 
Back
Top Bottom