Habari wadau
Swali la kizushi.. je Morisson angeweza kumfanyia Mwinyi Zahera mambo anayowafanyia viongozi msimu huu.
Hapo ndipo nawaelewa watu wakali kama Zahera au Magufuli..
Ukali unasaidia sana kuleta nidhamu..
Yanga ya Zahera hata hela ilikuwa haina za mishahara ila bado kocha alikuwa mkali na nidhamu ilikuwepo.. yanga ya leo na hela za gsm wachezaji wanafanya wanavyotaka
Msolla na Mkwassa na Mwakalebela.. muondoke yanga nyinyi ndio kirusi
Swali la kizushi.. je Morisson angeweza kumfanyia Mwinyi Zahera mambo anayowafanyia viongozi msimu huu.
Hapo ndipo nawaelewa watu wakali kama Zahera au Magufuli..
Ukali unasaidia sana kuleta nidhamu..
Yanga ya Zahera hata hela ilikuwa haina za mishahara ila bado kocha alikuwa mkali na nidhamu ilikuwepo.. yanga ya leo na hela za gsm wachezaji wanafanya wanavyotaka
Msolla na Mkwassa na Mwakalebela.. muondoke yanga nyinyi ndio kirusi