Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 867
- 1,008
Natumai mpo poa!; na wenyeshida poleni sana.
Leo nimekutana na mmasai mmoja ananiambia anadawa ya mitishamba ya kuzuia ndevu kuota. Anadai unapaka mfano kwa kufuata kuliacha labda umbo la O vile unataka au zote zisiote .Pia nywele za kwapani hata ikulu. Nikashituka mmm! hivi kweli hichi kitu kinawezekaje? kwamba Leo nipo na umri wa nusu ya life Span ya Tz sijawai sikia hii dawa.
Nikijitathimini ndevu zinanisumbua nikinyoa upele unaota pia mtu anaenipahabari yeye anandevu kidevuni kwa chini tu anasema nilipaka. Nikakumbuka wamasai wengi hawana masharubu au ndo wanatumia.
Yotenikaona nisikosoe nature kabla ya kushirikisha jukwaa lenye watu wajuvi wa mambo kama hapa JF.
Leo nimekutana na mmasai mmoja ananiambia anadawa ya mitishamba ya kuzuia ndevu kuota. Anadai unapaka mfano kwa kufuata kuliacha labda umbo la O vile unataka au zote zisiote .Pia nywele za kwapani hata ikulu. Nikashituka mmm! hivi kweli hichi kitu kinawezekaje? kwamba Leo nipo na umri wa nusu ya life Span ya Tz sijawai sikia hii dawa.
Nikijitathimini ndevu zinanisumbua nikinyoa upele unaota pia mtu anaenipahabari yeye anandevu kidevuni kwa chini tu anasema nilipaka. Nikakumbuka wamasai wengi hawana masharubu au ndo wanatumia.
Yotenikaona nisikosoe nature kabla ya kushirikisha jukwaa lenye watu wajuvi wa mambo kama hapa JF.