Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,384
- 9,751
Wadau nahisi huyu Waziri katupiwa hilo Jini angewahi au awahishwe kwa mafundi..
Jini Sakizi ukitupiwa linafanya maajabu ajabu tu yaani mtu akikuudhi unaweza hata muua hapo hapo
Watu waliwahi tupiwa mifano yake kama Ditopile alichukizwa tu na Dereva wa Daladala kusimamisha bus barabarani akashuka na Bastola akamfyatulia tu Dereva wa Watu akadedi.
Mtu kama mfano wake Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza raisi keshasema hataki kuona mabango akitembelea Mkoa yeye ndie akawa anahamsisha Mabango yawepo na hata Matusi yaandikwe ''SAKIZI'' hatari
Sakizi linawatuma watu hadi wanabaka vitoto au Vikongwe wanyama n.k
Zile Issue za Kuombea viongozi nadhani zishaisha.. Sakizi limechukua nafasi yake
Jini Sakizi ukitupiwa linafanya maajabu ajabu tu yaani mtu akikuudhi unaweza hata muua hapo hapo
Watu waliwahi tupiwa mifano yake kama Ditopile alichukizwa tu na Dereva wa Daladala kusimamisha bus barabarani akashuka na Bastola akamfyatulia tu Dereva wa Watu akadedi.
Mtu kama mfano wake Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza raisi keshasema hataki kuona mabango akitembelea Mkoa yeye ndie akawa anahamsisha Mabango yawepo na hata Matusi yaandikwe ''SAKIZI'' hatari
Sakizi linawatuma watu hadi wanabaka vitoto au Vikongwe wanyama n.k
Zile Issue za Kuombea viongozi nadhani zishaisha.. Sakizi limechukua nafasi yake