Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Je jeshi letu la polisi lina kikosi cha Anga? Police Air Wing?
Kama hakipo kwa nini? Wakati lingeweza kusaidia issue ya road traffic management na uhalifu pia? Pamoja na disaster management?
Kama kipo, kamanda wake ni nani? na kinasaidia je jeshi la polisi kuwa na ufanisi?
Kama hakipo kwa nini? Wakati lingeweza kusaidia issue ya road traffic management na uhalifu pia? Pamoja na disaster management?
Kama kipo, kamanda wake ni nani? na kinasaidia je jeshi la polisi kuwa na ufanisi?