COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,596
- 3,639
Nimepitia social media mbalimbali naona watu wanabeza kauli ya Rais ya JPM aliposema " hawa wanaume wamekuja kutafuta suluhu ya huu mgogoro". Naona watu wanasema eti Wezi wanasifiwa kuwa ni " wanaume".
Sasa najiuliza kwani wale wazungu walioenda ikulu walikuwa ni wanawake?
Hebu tutazame picha hiyo vizuri mwanamke yupo wapi hapo?
Sasa najiuliza kwani wale wazungu walioenda ikulu walikuwa ni wanawake?
Hebu tutazame picha hiyo vizuri mwanamke yupo wapi hapo?