Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Nimekuwa nikisika Mara kwamara mtu anapofariki au kufawatu wanasema ameaga dunia, Sasa mi huwa najiulizaga kila siku ameiaga vipi na dunia iko wapi ili na sisi tuiage kabla kabisa ya madhira haya ya kufa. Mi nafikiri huwa hatuiagi Mana afterall dunia is too theoretical and vacuum kwa hiyo dunia ndo inatuaga.
Au mnasemaje.
Au mnasemaje.