Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 462
- 578
Kama title inavyouliza;
-Mwanamke anaweza akalia na kutoa machozi akidai anakupenda kumbe ana wanaume wengine pia.( Ni wazuri sana kudanganya na kuigiza)
_Jiulize,mwanamke akitembea barabarani anasimamishwa na wanaume wangapi kutongozwa tena wazuri na wenye uwezo wa kifedha zaidi yako?
_Pia jiulize, mwanamke akiingia tu Facebook, Instagram, WhatsaApp au hata hapa tu,jiulize anatongozwa na wangapi?
_Na pia jiulize hata kazini kwake anatongozwa na wangapi?
_.....SASA JIULIZE WEWE NI NANI HADI AWE NA WEWE TU PEKEE YAKO?
USHAURI; WANAUME WENZANGU HATA SIKU MOJA USIWE NA MWANAMKE MMOJA NDIO MAANA WAPO WENGI ZAIDI YETU NA KAMWE USIMUAMINI MWANAMKE.
-Mwanamke anaweza akalia na kutoa machozi akidai anakupenda kumbe ana wanaume wengine pia.( Ni wazuri sana kudanganya na kuigiza)
_Jiulize,mwanamke akitembea barabarani anasimamishwa na wanaume wangapi kutongozwa tena wazuri na wenye uwezo wa kifedha zaidi yako?
_Pia jiulize, mwanamke akiingia tu Facebook, Instagram, WhatsaApp au hata hapa tu,jiulize anatongozwa na wangapi?
_Na pia jiulize hata kazini kwake anatongozwa na wangapi?
_.....SASA JIULIZE WEWE NI NANI HADI AWE NA WEWE TU PEKEE YAKO?
USHAURI; WANAUME WENZANGU HATA SIKU MOJA USIWE NA MWANAMKE MMOJA NDIO MAANA WAPO WENGI ZAIDI YETU NA KAMWE USIMUAMINI MWANAMKE.