Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,693
- 36,062
Habari waungwana,
Huhitaji kuwa na Degree ya Political Science kuamini hili. Kwa hakika kabisa majimbo yote Tanzania bara yanakwenda kuchukuliwa na CCM kwa gharama yoyote. Ninaposema kwa gharama yoyote nadhani mmenielewa.
Labda tu Rais kwa sababu zake yeye mwenyewe aamue kuchagua baadhi ya watu kutoka upinzani wenye misimamo vuguvugu na kuwaongeza bungeni ili kuleta picha kimataifa kuwa bunge limeundwa na watu wa vyama tofauti.
Hao wote watakaokuwa bungeni Mimi nitawaita wanaCCM.
Je, bunge likiwa na wabunge wa CCM pekee mwanachi atapata faida gani? Nini kitafuata baadaye?
Huhitaji kuwa na Degree ya Political Science kuamini hili. Kwa hakika kabisa majimbo yote Tanzania bara yanakwenda kuchukuliwa na CCM kwa gharama yoyote. Ninaposema kwa gharama yoyote nadhani mmenielewa.
Labda tu Rais kwa sababu zake yeye mwenyewe aamue kuchagua baadhi ya watu kutoka upinzani wenye misimamo vuguvugu na kuwaongeza bungeni ili kuleta picha kimataifa kuwa bunge limeundwa na watu wa vyama tofauti.
Hao wote watakaokuwa bungeni Mimi nitawaita wanaCCM.
Je, bunge likiwa na wabunge wa CCM pekee mwanachi atapata faida gani? Nini kitafuata baadaye?