Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Cdm haijawahi kufanya mabaya kama uongozi wa Ccm kwa ujumla wake.Una shida kichwani!
Rushwa haiwahusu chadema?
Unaona Lowasa kutoa mabilioni ili agombee urais kupitia chadema siyo rushwa?
Waliotuingiza mikataba mibovu si Cdm ni Ccm . Na kikubwa hapo ni rushwa nothing else. Waliokubaliana na umadikini wa wananchi ni Ccm na si Cdm