Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,981
Habari!
Karibu nchi zote za Afrika rushwa na ufisadi viko katika kilele. Hata hapa ninapoandika wasomaji wengi mmewahi kutoa au kupokea rushwa. Haijalishi ulitoa elfu 5 ya brush kwa afande Juma ulipozidisha mwendokasi au ulitoa elfu 10 kwa mhudumu wa mahakama akugongee muhuri documents zako kwa haraka.
Binafsi hata leseni yangu ya udereva niliipata kwa njia za panya, ingawa baadaye nikaenda driving school.
Nilikuwa JKT mwaka fulani, sasa kila ninayemuhoji kafikaje JKT ananiambia ametoa laki 8, mwingine millioni 1, mwingine laki 5, mwingine 1.5 million, mwingine kaletewa fomu na kaka yake afisa wa JKT, mwingine kaletewa fomu na baba mdogo afisa JWTZ.
Nani katufunza kula rushwa?
Karibu nchi zote za Afrika rushwa na ufisadi viko katika kilele. Hata hapa ninapoandika wasomaji wengi mmewahi kutoa au kupokea rushwa. Haijalishi ulitoa elfu 5 ya brush kwa afande Juma ulipozidisha mwendokasi au ulitoa elfu 10 kwa mhudumu wa mahakama akugongee muhuri documents zako kwa haraka.
Binafsi hata leseni yangu ya udereva niliipata kwa njia za panya, ingawa baadaye nikaenda driving school.
Nilikuwa JKT mwaka fulani, sasa kila ninayemuhoji kafikaje JKT ananiambia ametoa laki 8, mwingine millioni 1, mwingine laki 5, mwingine 1.5 million, mwingine kaletewa fomu na kaka yake afisa wa JKT, mwingine kaletewa fomu na baba mdogo afisa JWTZ.
Nani katufunza kula rushwa?