NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Salaam wanajukwaa,
Nimemsikia Mbunge wa Mbeya Mjini (chadema) Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu Bungeni akisema Mh Hawa Ghasia huwa anajibu maswali
ya Wabunge kwa kiburi na dharau. Kisa ana undugu na mke wa Rais!!!!!
Nimemsikia Mbunge wa Mbeya Mjini (chadema) Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu Bungeni akisema Mh Hawa Ghasia huwa anajibu maswali
ya Wabunge kwa kiburi na dharau. Kisa ana undugu na mke wa Rais!!!!!