Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Wanabodi,
Wakati tukiendelea na mjadala wa serikali 3 kuelekea kwenye katiba mpya, uoga mkuu kuhusu uwepo wa serikali 3, ni tishio la serikali tatu kuudhoofisha muungano hatimaye kurisk kuuvunja!. Watanzania bado hatujaruhusiwa kuhoji au kujadili kuhusu uhalali wa uwepo wa muungano kisheria, this is still it's a toboo topic!.
Wakati hayo yakiendelea, nina swali moja la msingi, ambalo jibu lake linahitaji kajiutafiti kadogo ka kina na kupata uthibitisho wa kimaandishi kuwa "Hivi Kweli Huu Muungano uliounganisha Tanganyika na Zanzibar ni Kweli Upo Kisheria na Kihalali?!... au ni Dhana Tuu?!.
Kisheria ni legaly, kihalali ni legitimacy, kitu kinaweza kuwepo kisheria legally lakini kikawa ni illegitimate, kama ilivyo kwa process ya kutungwa kwa ujauzito ni mimba tuu kupachikwa, lakini mtoto anayezaliwa kama anazaliwa ndani ya ndoa ni legitimate na akizaliwa nje ya ndoa ni illegitimate, hivyo na kwenye mataifa ni vivyo hivyo kuna mataifa halali kisheria yanaitwa De Jure na kuna mataifa sio halali kisheria yanaitwa De Facto, jee Tanzania ni De Jure au De Facto?.
1. Kwa vile Tanganyika huru yenye kiti kule UN, na Zanzibar nayo ni nchi huru, yenye kiti kule UN, muungano wowote wa nchi mbili hizi, ulipaswa kwanza kutanguliwa na "Instruments" za Kimataifa za Union!. Instruments hizo, zilibidi ziridhiwe kwanza (Ratified) na Mabunge ya nchi hizo mbili kwa kuwa ratified instruments, kisha zitungiwe sheria local laws, hizo instruments na local laws zake zipelekwe UN na kuwa filed na kuwa internationalized kuwa za kimataifa kwanza ndipo viti vya Tanganyika na Zanzibar vingekuwa merged na kiti cha nchi mpya Tanzania kingepandishwa!.
2. Instuments za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilikuwa drafted as local treaty wakati zilipaswa ziwe ni an International Instruments na (Hati za Muungano), zikasainiwa na Nyerere na Karume haste haste bila wananchi wa nchi husika hizo kuulizwa!. Baada ya kusainiwa zilibidi ziwe ratified na Bunge la Tanganyika na BLM kule Zanzibar. Ni Bunge la Tanganyika tuu ndilo lili ratify tukatunga sheria ya Muungano, The Union Act, Jee kuna yeyote aliyewahi kuzisoma hizo hansard za bunge la Tanganyika likiratify Union Instruments au sheria ile ya muungano Union Act ilitungwa juu kwa juu?!.
3. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna ratification yoyote iliyofanyika!, bali Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Abedi Amani Karume aliwaita Wanabalozi waliokuwepo Zanzibar na kuwaeleza kwa kauli kuwa BLM limeridhia kuratify zile Acts za Union na Instruments zake, lakini Zanzibar hakuna kikao chochote cha BLM kuujadili muungano, Hakuna andiko lolote la ratification kutoka Zanzibar, wala hakuna sheria ya muungano kwa Zanzibar!. Ratification is a process na kufanyika kwa maandishi!, na sio kwa kauli, na kufuatiwa ama kutungwa kwa sheria mpya ama ku domesticate international laws and international instruments kuwa local laws. Kwenye muungano hiki kitu hakikufanyika kwa Zanzibar!.
4. Kufuatia kukosekana kwa ratification ya upande mmoja wa Muungano, jee kiti cha Zanzibar kule UN, kilifutika futika vipi kule UN na nafasi yake kukaliwa na Tanzania bila hizo instuments kuwasilishwa rasmi UN?!.
5. Wakati fulani nikiwa NY, nilipata fursa kupita pale ubalozini kwetu UN, enzi hizo wife wa mwana jf mwenzetu akiwa ni receptionist, niliomba kumsalimia Balozi enzi hizo akiwa Daudi Mwakawago, Wabongo wakimuona mbongo ambaye sio mserikali hapo ubalozini , they treat you like a shit!. Baada ya kueleza shida yangu, nilielezwa maswali yangu nilipaswa kuyaleta kitambo kwa maandishi hivyo hayakupata majibu!. Miongoni mwa mambo niliyouliza ni copy ya International Treaty ya Union btn Tanganyika and Zanzibar iliyowasilishwa UN ili kufuta Viti vya Tanganyika na Zanzibar na Kuzaa Tanzania!. Sikuonyeshwa!.
6. International Treaties zote za Kimataifa zinazofika UN, zinahifadhiwa katika Maktaba Maalum, hutolewa copy na kuwekwa kwenye UN Open Library ambapo iko wazi kwa yeyote mwenye UN Access kuiperusi na kuisoma. Hivyo nilipokwenda kwenye UN Library, hakuna any International Treaty iliyopelekwa na Serikali ya Tanganyika kukifuta kiti chake UN wala iliyopelekwa na serikali ya Zanzibar kukifuta kiti chake!. Kilichopo kule ni Note Verbale ya Tanzania mpya kuumuarifu Katibu Mkuu wa UN kuwa Tanganyika na Zanzibar zimeungana!. Hiyo Note Verbale ndio taarifa ya awali, instuments zingefuatia!. Jee kuna Yeyote aliwahi kuziona hizo instuments?!. Hivi kumbe kiti cha nchi kwenye UN kinaweza kufutwa kwa Note Verbale tuu ya kutoka nchi moja bila any instruments zozote kuisupport hiyo NV ili kujustify huo muungano?!.
7.Niliwahi kwenda pale Ofisi za Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa, nikiamini kuwa classified documents are unclassified baada ya kipindi cha miaka 30!. Nikaomba kuziona hizo classified documents za Muungano!, nikaelezwa kuwa declassified documents zilizopo kwenye public access ni zile documents za mkoloni tuu!. Classified documents za Tanganyika huru na Tanzania huru , they are unclassified but haziko kwenye public open access!, ili uzione, unapaswa kuandika barua rasmi ya kuomba kuziona, ukieleza lengo la kuziomba ni nini?!. Nikauliza tuu jee Hati za Muungano zipo mle?!. Nilijibiwa zipo!. Barua sijaandika na hati zijaziona!. Jee kuna mtu yeyote amewahi kuziona hizo hati halisi za muungano?!.
8. Kama hati za Muungano, au Mkataba wa Muungano kama ule ulioletwa humu jf, ndio mkataba wenyewe!, Niliwahi kusema hauna sifa za kuitwa mkataba kwa sababu umekosa kipengele kiitwacho "Privity to contract" sambamba na kukosekana kipengele cha kuvunjika kwa mkataba!. Ili mkataba uwe na sifa ya mkataba, lazima kuwepo na kipengele cha itakuwaje endapo mkataba huo utavunjika!. Hati za Muungano hazikuwa na kipengele hicho hivyo huo haukuwa mkataba halali bali ni makubaliano tuu ya Muungano kati ya Nyerere na Karume, yasingefit hata kuwa filed kwenye Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa, seuze kufika UN?!.
9. Kwa vile sasa hoja kuu ya mjadala wa katiba ni serikali tatu kwa lengo la kuulinda muungano!, swali la msingi sasa ni jee huu muungano tunaotaka kuulinda upo kiukweli kweli kihalali na kisheria, au ni dhana tuu muungano kama wanandoa wawili wanapochukuana na kuishi pamoja kama mume na mke kwa dhana ya ndoa, baada ya kuishi miaka miwili kisheria wanakuwa ni wanandoa kabisa, ila pasipo na hati ya ndoa, wanandoa hawa wanakuwa wanaishi kwenye dhana tuu ya ndoa hata wakiishi miaka 100!. Sasa jee huu muungano wetu ni wa kweli au ni dhana tuu ya muungano?!.
10. Kwa vile Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ipo, naombani wenye muda fuatilieni kuziona hati hizo, kwavile MFA ipo, mliopo huko fuatilieni hizo instuments zilizopelekwa UN mtuonyeshe vinginevyo huu muungano wetu purported to exit is the biggest living lie in history!.
My Take:
Nahisi mara tuu baada ya muungano, kwa Nyerere na Karume kutia saini kwenye hati zile mbele ya kadamnasi ya watu!, wanasheria makini, waligundua hati zile zilikuwa defective na makosa ambayo hayarekebishiki!, Hati zile zingeonekana zingeufanya mkataba wa muungano kuwa ni void contract, usiorekebishika, ambapo zingeufanya muungano usiwepo abinitio!. Naamini kilichofuatia ni mkataba ule kuchanwa chanwa kuchomwa moto au kutumbukizwa chooni tena kwenye choo cha shimo kwa matumaini, ungetengenezwa mkataba mwingine proper na kusainiwa tena kimya kimya ambao ndio ungepelekwa hata UN!, jambo ambalo halikufanyika hivyo kuufanya huu muungano wetu kuwepo kwenye dhana tuu ya muungano ndio maana tumekuwa tukiyaongeza with no reference ya hati zozote ambazo they don't exist anymore.
Mwenye kujua lolote kuhusu uhalisia hili atujuze,
vinginevyo fuatana nami kuufuatilia Muungano kwa lengo la kuudumisha! na sio kuuchokoa ili kuubomoa!.
Wasalaam
Pasco.
Update: 1
Attached Files
Nimefanikiwa kuipata Document Tanzania iliyoiwasilisha UN kuuthibitisha muungano wetu, ila pia bado kuna maswali bila
majibu, NV hii imeandikwa inawasilishwa akiandamana na mkataba, ila kiukweli mkataba haukuwekwa!.
Wakati tukiendelea na mjadala wa serikali 3 kuelekea kwenye katiba mpya, uoga mkuu kuhusu uwepo wa serikali 3, ni tishio la serikali tatu kuudhoofisha muungano hatimaye kurisk kuuvunja!. Watanzania bado hatujaruhusiwa kuhoji au kujadili kuhusu uhalali wa uwepo wa muungano kisheria, this is still it's a toboo topic!.
Wakati hayo yakiendelea, nina swali moja la msingi, ambalo jibu lake linahitaji kajiutafiti kadogo ka kina na kupata uthibitisho wa kimaandishi kuwa "Hivi Kweli Huu Muungano uliounganisha Tanganyika na Zanzibar ni Kweli Upo Kisheria na Kihalali?!... au ni Dhana Tuu?!.
Kisheria ni legaly, kihalali ni legitimacy, kitu kinaweza kuwepo kisheria legally lakini kikawa ni illegitimate, kama ilivyo kwa process ya kutungwa kwa ujauzito ni mimba tuu kupachikwa, lakini mtoto anayezaliwa kama anazaliwa ndani ya ndoa ni legitimate na akizaliwa nje ya ndoa ni illegitimate, hivyo na kwenye mataifa ni vivyo hivyo kuna mataifa halali kisheria yanaitwa De Jure na kuna mataifa sio halali kisheria yanaitwa De Facto, jee Tanzania ni De Jure au De Facto?.
1. Kwa vile Tanganyika huru yenye kiti kule UN, na Zanzibar nayo ni nchi huru, yenye kiti kule UN, muungano wowote wa nchi mbili hizi, ulipaswa kwanza kutanguliwa na "Instruments" za Kimataifa za Union!. Instruments hizo, zilibidi ziridhiwe kwanza (Ratified) na Mabunge ya nchi hizo mbili kwa kuwa ratified instruments, kisha zitungiwe sheria local laws, hizo instruments na local laws zake zipelekwe UN na kuwa filed na kuwa internationalized kuwa za kimataifa kwanza ndipo viti vya Tanganyika na Zanzibar vingekuwa merged na kiti cha nchi mpya Tanzania kingepandishwa!.
2. Instuments za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilikuwa drafted as local treaty wakati zilipaswa ziwe ni an International Instruments na (Hati za Muungano), zikasainiwa na Nyerere na Karume haste haste bila wananchi wa nchi husika hizo kuulizwa!. Baada ya kusainiwa zilibidi ziwe ratified na Bunge la Tanganyika na BLM kule Zanzibar. Ni Bunge la Tanganyika tuu ndilo lili ratify tukatunga sheria ya Muungano, The Union Act, Jee kuna yeyote aliyewahi kuzisoma hizo hansard za bunge la Tanganyika likiratify Union Instruments au sheria ile ya muungano Union Act ilitungwa juu kwa juu?!.
3. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna ratification yoyote iliyofanyika!, bali Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Abedi Amani Karume aliwaita Wanabalozi waliokuwepo Zanzibar na kuwaeleza kwa kauli kuwa BLM limeridhia kuratify zile Acts za Union na Instruments zake, lakini Zanzibar hakuna kikao chochote cha BLM kuujadili muungano, Hakuna andiko lolote la ratification kutoka Zanzibar, wala hakuna sheria ya muungano kwa Zanzibar!. Ratification is a process na kufanyika kwa maandishi!, na sio kwa kauli, na kufuatiwa ama kutungwa kwa sheria mpya ama ku domesticate international laws and international instruments kuwa local laws. Kwenye muungano hiki kitu hakikufanyika kwa Zanzibar!.
4. Kufuatia kukosekana kwa ratification ya upande mmoja wa Muungano, jee kiti cha Zanzibar kule UN, kilifutika futika vipi kule UN na nafasi yake kukaliwa na Tanzania bila hizo instuments kuwasilishwa rasmi UN?!.
5. Wakati fulani nikiwa NY, nilipata fursa kupita pale ubalozini kwetu UN, enzi hizo wife wa mwana jf mwenzetu akiwa ni receptionist, niliomba kumsalimia Balozi enzi hizo akiwa Daudi Mwakawago, Wabongo wakimuona mbongo ambaye sio mserikali hapo ubalozini , they treat you like a shit!. Baada ya kueleza shida yangu, nilielezwa maswali yangu nilipaswa kuyaleta kitambo kwa maandishi hivyo hayakupata majibu!. Miongoni mwa mambo niliyouliza ni copy ya International Treaty ya Union btn Tanganyika and Zanzibar iliyowasilishwa UN ili kufuta Viti vya Tanganyika na Zanzibar na Kuzaa Tanzania!. Sikuonyeshwa!.
6. International Treaties zote za Kimataifa zinazofika UN, zinahifadhiwa katika Maktaba Maalum, hutolewa copy na kuwekwa kwenye UN Open Library ambapo iko wazi kwa yeyote mwenye UN Access kuiperusi na kuisoma. Hivyo nilipokwenda kwenye UN Library, hakuna any International Treaty iliyopelekwa na Serikali ya Tanganyika kukifuta kiti chake UN wala iliyopelekwa na serikali ya Zanzibar kukifuta kiti chake!. Kilichopo kule ni Note Verbale ya Tanzania mpya kuumuarifu Katibu Mkuu wa UN kuwa Tanganyika na Zanzibar zimeungana!. Hiyo Note Verbale ndio taarifa ya awali, instuments zingefuatia!. Jee kuna Yeyote aliwahi kuziona hizo instuments?!. Hivi kumbe kiti cha nchi kwenye UN kinaweza kufutwa kwa Note Verbale tuu ya kutoka nchi moja bila any instruments zozote kuisupport hiyo NV ili kujustify huo muungano?!.
7.Niliwahi kwenda pale Ofisi za Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa, nikiamini kuwa classified documents are unclassified baada ya kipindi cha miaka 30!. Nikaomba kuziona hizo classified documents za Muungano!, nikaelezwa kuwa declassified documents zilizopo kwenye public access ni zile documents za mkoloni tuu!. Classified documents za Tanganyika huru na Tanzania huru , they are unclassified but haziko kwenye public open access!, ili uzione, unapaswa kuandika barua rasmi ya kuomba kuziona, ukieleza lengo la kuziomba ni nini?!. Nikauliza tuu jee Hati za Muungano zipo mle?!. Nilijibiwa zipo!. Barua sijaandika na hati zijaziona!. Jee kuna mtu yeyote amewahi kuziona hizo hati halisi za muungano?!.
8. Kama hati za Muungano, au Mkataba wa Muungano kama ule ulioletwa humu jf, ndio mkataba wenyewe!, Niliwahi kusema hauna sifa za kuitwa mkataba kwa sababu umekosa kipengele kiitwacho "Privity to contract" sambamba na kukosekana kipengele cha kuvunjika kwa mkataba!. Ili mkataba uwe na sifa ya mkataba, lazima kuwepo na kipengele cha itakuwaje endapo mkataba huo utavunjika!. Hati za Muungano hazikuwa na kipengele hicho hivyo huo haukuwa mkataba halali bali ni makubaliano tuu ya Muungano kati ya Nyerere na Karume, yasingefit hata kuwa filed kwenye Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa, seuze kufika UN?!.
9. Kwa vile sasa hoja kuu ya mjadala wa katiba ni serikali tatu kwa lengo la kuulinda muungano!, swali la msingi sasa ni jee huu muungano tunaotaka kuulinda upo kiukweli kweli kihalali na kisheria, au ni dhana tuu muungano kama wanandoa wawili wanapochukuana na kuishi pamoja kama mume na mke kwa dhana ya ndoa, baada ya kuishi miaka miwili kisheria wanakuwa ni wanandoa kabisa, ila pasipo na hati ya ndoa, wanandoa hawa wanakuwa wanaishi kwenye dhana tuu ya ndoa hata wakiishi miaka 100!. Sasa jee huu muungano wetu ni wa kweli au ni dhana tuu ya muungano?!.
10. Kwa vile Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ipo, naombani wenye muda fuatilieni kuziona hati hizo, kwavile MFA ipo, mliopo huko fuatilieni hizo instuments zilizopelekwa UN mtuonyeshe vinginevyo huu muungano wetu purported to exit is the biggest living lie in history!.
My Take:
Nahisi mara tuu baada ya muungano, kwa Nyerere na Karume kutia saini kwenye hati zile mbele ya kadamnasi ya watu!, wanasheria makini, waligundua hati zile zilikuwa defective na makosa ambayo hayarekebishiki!, Hati zile zingeonekana zingeufanya mkataba wa muungano kuwa ni void contract, usiorekebishika, ambapo zingeufanya muungano usiwepo abinitio!. Naamini kilichofuatia ni mkataba ule kuchanwa chanwa kuchomwa moto au kutumbukizwa chooni tena kwenye choo cha shimo kwa matumaini, ungetengenezwa mkataba mwingine proper na kusainiwa tena kimya kimya ambao ndio ungepelekwa hata UN!, jambo ambalo halikufanyika hivyo kuufanya huu muungano wetu kuwepo kwenye dhana tuu ya muungano ndio maana tumekuwa tukiyaongeza with no reference ya hati zozote ambazo they don't exist anymore.
Mwenye kujua lolote kuhusu uhalisia hili atujuze,
vinginevyo fuatana nami kuufuatilia Muungano kwa lengo la kuudumisha! na sio kuuchokoa ili kuubomoa!.
Wasalaam
Pasco.
Update: 1
Nimefanikiwa kuipata document ya ratification ya Muungano kwa bunge la Tanganyika. Document ya ratification kama hii ilipaswa kuwepo Zanzibar, ila kule haipo!. Hakuna ratification process yoyote iliyofanyika kwa Zanzibar kuuratify muungano zaidi ya kauli ya Karume kwa wanabalozi kuwa BLM limeridhia!. Rafication haifanywi kwa kauli, its a process inayofanyika kwa maandishi kama tulivyofanya Tanganyika!.
Nimefanikiwa kuipata Document Tanzania iliyoiwasilisha UN kuuthibitisha muungano wetu, ila pia bado kuna maswali bila
majibu, NV hii imeandikwa inawasilishwa akiandamana na mkataba, ila kiukweli mkataba haukuwekwa!.