GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Kama wewe ni mwandishi wa habari haraka sana chukua simu yako and dial namba ya dr slaa. Msalimie vizuri huko aliko.muulize na mkewe anaendeleaje...usisahau kumuuliza mkewe kama hajambo.usisahau.muulize na hali ya hewa ya huko n.k
Halafu Muulize Lowassa Fisadi au siyo Fisadi? Mwambie ajibu tu kifupi kuwa "NI FISADI" au "SI FISADI" basi muage mtakie aenjoy kuwepo kule na mke wake.
Njoo Tanzania hapa hasa DSM au hata humu JF. Msalimie mwana CHADEMA mmoja anyeonekana maridadi... Muulize Je Lowassa Fisadi au si Fisadi. Naye ajibu kama alivyotakiwa kujibu Dr Slaa.
Halafu pita pita Lumumba pale utawakuta vijana na shati zao za kijani wanacheza karata na kunywa kahawa... Wasalimie...kisha waulize "Lowassa FISADI AU SIYO FISADI" Nao wakujibu kwa namna ambayo alipaswa kujibu Dr Slaa.
Halafu kaa chini pitia maoni na majadiliano ya miaka takriban 10 iliyopita. Utagundua kitu kimoja.
WATANZANIA TUNA PHD YA UNAFIKI.
Halafu Muulize Lowassa Fisadi au siyo Fisadi? Mwambie ajibu tu kifupi kuwa "NI FISADI" au "SI FISADI" basi muage mtakie aenjoy kuwepo kule na mke wake.
Njoo Tanzania hapa hasa DSM au hata humu JF. Msalimie mwana CHADEMA mmoja anyeonekana maridadi... Muulize Je Lowassa Fisadi au si Fisadi. Naye ajibu kama alivyotakiwa kujibu Dr Slaa.
Halafu pita pita Lumumba pale utawakuta vijana na shati zao za kijani wanacheza karata na kunywa kahawa... Wasalimie...kisha waulize "Lowassa FISADI AU SIYO FISADI" Nao wakujibu kwa namna ambayo alipaswa kujibu Dr Slaa.
Halafu kaa chini pitia maoni na majadiliano ya miaka takriban 10 iliyopita. Utagundua kitu kimoja.
WATANZANIA TUNA PHD YA UNAFIKI.